Msaada wa haraka: Nakaribia kufungwa

Acha uswahili ndg,yangu dawa ya deni ni kulipa na sio kubadili njia!

Hata kama hapo lazima equit iwe juu ya sheria kaka kama anasababu za msingi za kujieleza zilizo mfanya ashindwe kulipa on time anayo haki ya kubadili terms za mkataba ili kuweka a smooth running of the xontractuala performance. Na sio mtu kwakuwa kajicomit kwenye mkataba basi mtu mwingine achukulie hicho kigezo kama njama ya kulazimisha malipo yenye faida zisizo stahili. Fadhili ananamna ya kuheshimiwa kushindwa kwake. Lazima haki itendeke. Na kuhusu kifungo huwa kuna civil imprisonment but its done so rarely. Mara nyingi wata attach properties zako kufidia deni km huyo mkopeshaji atashinda.
 
Umekubali kuibiwa kweupe na umeweka saini tii amri ya masharti bila shuruti
 
Unanikumbusha methali ya kukopa harusi kulipa matanga!

Usihofu sana kuhusu kufungwa kwa sababu ya uwezekano wa kesi. Hiyo si jinai ambayo huweza kukufungisha haraka, bali jinai.

Lakini unatakiwa ujisikie vibaya kwa kushindwa kulipa deni lako - na uendelee kuhangaika sana ili ulilipe lote.
 
Kesi ya madai huwa haimfungi mtu kirahisi hivyo. Cha muhimu hata kama mtapelekana mahakamani ni kwa mdaiwa kuonyesha nia na uwezo wa kulipa,kitu ambacho umeshaonyesha. Nenda tena na hizo lak 2 ukiwa na afisa wa serikali ya mtaa wake,omba kumlipa mbele ya mashahidi kiasi hcho,ahidi muda muafaka kwa wote amabao utaweza kulipa kiasi kilichobaki au kama hali yako ni tete ahidi kuleta hata robo yakiasi kilichobaki na robo nyingine utamalizia babadae, na muandikishiane makubaliano hayo.Akikataa hayo,basi mwambie huna la kumzuia aende mahakamani ambako nako najua watakutaka ufanye procedure hizo hapo juu. Cha muhimu kwako hifadhi kumbukumbu na ushahidi wa siku ulipompelekea nusu ya kiasi mbele ya mashahidi akakataa. Hao wakopeshaji kisha wanakomaa ulipe zote sivyo riba inapanda wapo wengi sana mjini siku hizi,ndio kazi zao na hawana hata leseni,tujitahidi kuwaepuka!
 
Kesi ya madai huwa haimfungi mtu kirahisi hivyo. Cha muhimu hata kama mtapelekana mahakamani ni kwa mdaiwa kuonyesha nia na uwezo wa kulipa,kitu ambacho umeshaonyesha. Nenda tena na hizo lak 2 ukiwa na afisa wa serikali ya mtaa wake,omba kumlipa mbele ya mashahidi kiasi hcho,ahidi muda muafaka kwa wote amabao utaweza kulipa kiasi kilichobaki au kama hali yako ni tete ahidi kuleta hata robo yakiasi kilichobaki na robo nyingine utamalizia babadae, na muandikishiane makubaliano hayo.Akikataa hayo,basi mwambie huna la kumzuia aende mahakamani ambako nako najua watakutaka ufanye procedure hizo hapo juu. Cha muhimu kwako hifadhi kumbukumbu na ushahidi wa siku ulipompelekea nusu ya kiasi mbele ya mashahidi akakataa. Hao wakopeshaji kisha wanakomaa ulipe zote sivyo riba inapanda wapo wengi sana mjini siku hizi,ndio kazi zao na hawana hata leseni,tujitahidi kuwaepuka!

Hata mimi nashangaa. Debtors prison is a Dickensian concept which common law derived jurisprudence should have moved past.
 
Ikifikishwa Polisi inabadilishwa na kuwa ya utapeli............
Chezeya Polisi weye.......:LOL

Mkuu,
Kesi ya utapeli wa laki 3? na hakimu naye atakubali? basi itakuwa ilikuwa lazima nifungwe. Mi naona yeye kwenda polisi ni kujiingiza gharama zingine zaidi hata kama yeye ana hela, ningekuwa nimekataa kuwa hanidai sawa, lakini ninakubali na ninataka kulipa nusu hataki, huyu si ana lake jambo tu? ni heri litokee.
 
Hapa sijakuelewa. Unaweza kutoa mfano..?

Hata mm sijamuelewa, sasa duplum principle itatumika kwenye riba inayoongezeka kadiri anavyochelewa kulipa au kwenye makubaliano ya awali in the sense that huyu mkopaji hapaswi kulipa riba waliyokubaliana bali tu kiasi kile kile alichokopa?
 
Riba ya 50% kwa mwezi? Huu ni wizi wa mchana! Huyo jamaa ndio biashara yake? Ana leseni ya kufanya hiyo bishara?
Hata mimi nimeshangazwa sana. Unawezaje kukubali kuingia kwenye mkataba wa aina hii mkuu? Hii ni hatari sana, ulitegemea ungefanya biashara gani ya kukuingizia faida mara mbili halafu na wewe upate faida yako? Au ulikurupuka mkuu? Hapa bwana linaweza kuwa ni tatizo as far as mlishaandikishana na mkakubaliana.
 
Ndiyo mkuu ndiyo biashara yake ila hana leseni na hata kama angekuwa na leseni sidhani kama angeruhusiwa na vyombo husika.

Vita ni timing tu,ukibanwa mahali pabaya baba mtu mzima unaweza kumwamkia mtoto wa miaka 10
 
Hata mimi nimeshangazwa sana. Unawezaje kukubali kuingia kwenye mkataba wa aina hii mkuu? Hii ni hatari sana, ulitegemea ungefanya biashara gani ya kukuingizia faida mara mbili halafu na wewe upate faida yako? Au ulikurupuka mkuu? Hapa bwana linaweza kuwa ni tatizo as far as mlishaandikishana na mkakubaliana.

Mkuu,
Nilikuwa nahitaji sana hiyo pesa wakati huo na sikuwa nimepanga kutumia biashara ili kulirejesha, kuna kazi nyingine ambayo nilikuwa na uhakika ingeniingizia hata mara 2 ya hilo deni tena ndani ya kama wiki 2, lakini mwisho wa siku haikutokea hivyo na hiyo pesa nategemea kupata muda wowote ndani ya wiki 1 ijayo.

Makubaliano yetu yanasomeka tu kuwa mwisho wa mwezi nilipe deni na riba, makubaliano hayasomeki kama nitashindwa kulipa nini kitatokea, hakuna sehemu nimesaini kwamba kama nitashindwa kurejesha basi riba iendelee. Kimsingi hata yeye hii itakuwa ni challenge kwake kubadili mbinu zake za ukopeshaji au awe anawatafuta wenye akili kama za mimi lasivyo hata yeye ipo siku yatamkuta.
 
Mkuu,
Kesi ya utapeli wa laki 3? na hakimu naye atakubali? basi itakuwa ilikuwa lazima nifungwe. Mi naona yeye kwenda polisi ni kujiingiza gharama zingine zaidi hata kama yeye ana hela, ningekuwa nimekataa kuwa hanidai sawa, lakini ninakubali na ninataka kulipa nusu hataki, huyu si ana lake jambo tu? ni heri litokee.
Una Asset gani ya kuweka bond kwangu nikupe mkopo usio na riba ili ulipe hilo deni? jibu haraka niko kwenye mchakato wa kugawanya matumizi Shopping za Xmass za watoto + School fees. January sitaki inikute na majukumu yasiyobebeka.
 
Mkuu,
Nashukuru sana. Nina Printer ni PIXMA iP4700 ni Photo, CD/DVD and Paper printer. Karibu mkuu.

Una Asset gani ya kuweka bond kwangu nikupe mkopo usio na riba ili ulipe hilo deni? jibu haraka niko kwenye mchakato wa kugawanya matumizi Shopping za Xmass za watoto + School fees. January sitaki inikute na majukumu yasiyobebeka.
 
Ikifikishwa Polisi inabadilishwa na kuwa ya utapeli............
Chezeya Polisi weye.......:LOL
Ha ha ha, kwahiyo unamwambia kijana Segera inakuja!
Mtambuzi wewe hukuwahi kukopa tu-binti enzi hizo ndugu yangu!
Ndoa ya mkeka Ununio siyo utapeli, mbona hukwenda Keko!

Anyway, mleta mada msome Ngambo Ngali ameeleza vizuri.
 
Kaka pole sana, achilia mbali suala la kukufunga au kukufungulia kesi, kuna ile kero na ubinaadamu. Ushauri wangu kama ambavyo wadau wemgi wameshachangia hapo juu, nenda na hiyo hela uliyonayo ukiwa na shahidi aliyekuwe po mara ya kwanza, MSIHI mkopeshaji na mweleze kwamba huwezi kumlipa hiyo hela yote kama anakataa mwambie aandike mkataba mpya wenye kipengele kinachoonyesha kwamba amekataa hiyo laki 2 uliyonayo na aandike madai yake mapya.

Itakua vyema sanakama huo mkopo ulifanyia kitu cha maana, vinginevyo sidhani kama kuna ushauri utakufaa hapa.
Kulipa madeni ni kipaji ndugu yangu, sio kitu kidogo.
 
Back
Top Bottom