Msaada wa haraka kwa wakazi wa morocco

BROKE BOYS

JF-Expert Member
Jan 12, 2019
13,218
39,041
Wakuu naomben msaada wa kupewa jina ya lodge au hoteli iliyopo maeneo ya morocco kino, na mgeni wangu inabd afikie maeneo haya. Bei isizid 50k per night, iwe nahadhi nzuri.

Ahsanteni
 
Ungesongea kidogo manzese!faida ya kwanza ni karibu na mabasi ya mikoani na town pia,pili 50k unalipia gest 2weeks ukienjoy na mtoto wa mikoani
 
Manzese wapi mwambie arudi tu magomeni hapo analipa 20 yake burudani maisha yanaendelea morocco atapasuka huko
Ungesongea kidogo manzese!faida ya kwanza ni karibu na mabasi ya mikoani na town pia,pili 50k unalipia gest 2weeks ukienjoy na mtoto wa mikoani
 
Mtu kaomba kujua zinakopaki taxi, mabaharia mnamuelekeza kwenye vituo vya mwendokasi.
Kubaniana riziki tu huko.
Oya babu, nyuma ya mjengo wa airtel kuna kitu standard kipo kimetulia utakipenda.
Full AC, breakfast, tv, simu, totoz nn, wewe tu.
 
Mtu kaomba kujua zinakopaki taxi, mabaharia mnamuelekeza kwenye vituo vya mwendokasi.
Kubaniana riziki tu huko.
Oya babu, nyuma ya mjengo wa airtel kuna kitu standard kipo kimetulia utakipenda.
Full AC, breakfast, tv, simu, totoz nn, wewe tu.

Ahsante mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom