ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,529
DuhHao ni matepeli mkuu,ukituma hela wakutumie activation code ndio imekula kwako…
Utasubiri mpaka pombe itoke madarakani
DuhHao ni matepeli mkuu,ukituma hela wakutumie activation code ndio imekula kwako…
Utasubiri mpaka pombe itoke madarakani
Naona ni uwizi mambo leoNa wewe utakuwa mmoja ya wanaotaka wenzako waibiwe kwa akili ya kawaida kuhack simu ya mtu haijawahi kuwa rahisi hivyo eti unaweka namba una click tayari.
Waliojaribu wameliwa ela yao kwa kudanganywa watatumiwa activation code lakini hollah
Wanatepeli vp mkuu? Hebu funguka zaidi maana hata mm ndio mara yangu ya kwanza kuisikia.Unapata raha gani kudanganya watu? Au na wewe ni miongoni mwao upo hapa kuwapigia promo!!
Hao jamaa ni matapeli,period!
Upigaji 100% nahisi harufu ya utapeliPoleni mnaosema ni yakitapeli ni bonge moja ya app hasa kwa kumfuatilia mpenzi au mke ambaye unadhani unaibiwa. Sisi tupo tunaenjoy tu na telbox Tanzania kwa elfu 45 tu
Hiyo app ipo playstore,nenda kadownload…Wanatepeli vp mkuu? Hebu funguka zaidi maana hata mm ndio mara yangu ya kwanza kuisikia.
mwsho wa siku utakuja kulalamika tu, hacking haziend ivo, mana kwa navyojua lazima ufanye installation kwenye sim ulioitarget,Kwa yeyote mwenye ujuzi juu ya hii app aliyoigundua mtanzania mwenzetu inayoitwa TELBOX TANZANIA kwa ajili ya kuhang taarifa za simu nyingine.
Naomba kufajamishwa kwa wale tulioko nje ya nchi na hatuwezi kuaccess matumizi ya tigo pesa na mpesa tufanyeje malipo ili kuitumia hii app?? Na je kuna uwezekano huo au ni kwa ajili ya walio nchini tu. Msaada tafadhari.
ingekuwa cyo ya ki tapeli it means hyu ana uwezo mkubwa mbna ashindwe kuweka free trial hata ya siku 3 then ndo ulipie ni tapeli tu...Kwa yeyote mwenye ujuzi juu ya hii app aliyoigundua mtanzania mwenzetu inayoitwa TELBOX TANZANIA kwa ajili ya kuhang taarifa za simu nyingine.
Naomba kufajamishwa kwa wale tulioko nje ya nchi na hatuwezi kuaccess matumizi ya tigo pesa na mpesa tufanyeje malipo ili kuitumia hii app?? Na je kuna uwezekano huo au ni kwa ajili ya walio nchini tu. Msaada tafadhari.