thanx mkuu point taken (ujumbe utafika bila shobo au sio)someni hii k2 haina shombo wala shobo, mapenzi ya Vyuoni mtaumizana bure hapo bado ma-Lectuare hawajawachukua ili msi-Disco samahanini kama nimewaudhi sina lugha laini zaidi ya hiyo
Nyie wajumbe kazi kushauri apige chini sasa atapata wapi palipo salama?hakuna mapenz these days ni kuchakachuana tu.mapenzi gani hayo ya kulazimisha,mwambie my friend wako apige chini. Nalog off
hahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaa then bada ya mda wanagoma hela chacheHi issue yenyewe ya mvulana na msichana wote watoto wa shule, bora wakomae na masomo tu. Na huyo mvulana kutumia hela ya mkopo wa chuo kutaka kuwafuata wasichana wengine kwa taxi atalijua jiji.
duh! ))))))))))))) hata kama mzinzi amwamini tu jamani loh!Nyie wajumbe kazi kushauri apige chini sasa atapata wapi palipo salama?hakuna mapenz these days ni kuchakachuana tu.
Mwambie amsamehe mahabuba wake waendeleze raha zao na amzoEe hivyohivyo.HASIMWACHE ila amvumilie na amuamini anachoambiwa.
Hiyo inaitwa stahamili japo unaumia.Nalog offNyie wajumbe kazi kushauri apige chini sasa atapata wapi palipo salama?hakuna mapenz these days ni kuchakachuana tu.
Mwambie amsamehe mahabuba wake waendeleze raha zao na amzoEe hivyohivyo.HASIMWACHE ila amvumilie na amuamini anachoambiwa.