AMINATA 9
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 2,120
- 641
- Thread starter
- #21
sijampa bado mana naogopa waweza umwambie muache alafu wasiachane sura nitaiweka wapi hii loh!Jibu ulitaka/ ulilompa ndio jibu sahihi.
ndio mana naomba njia ya yy kumueleza kua huyo hakufai ondoka mapema kabla mambo hayajawa makubwa zaidi loh!