natumaini hamjambo wanajamvi wenzangu! Jamani naomba kama una habari kuhusu shule moja inayoitwa TUKUYU niambie ipo wapi katika hii TANZANIA YETU TUKUFU! Binamu yangu kapelekwa huko ila hajapata join instruction mpaka sasa!
Kama upo dar nenda Landmark hotel au S.H amon ulizia mtu yeyote ambaye anatoka tukuyu au ndugu wa sauli atakupa mwongozo jinsi ya kupata contact za mwl.
Kama upo dar nenda Landmark hotel au S.H amon ulizia mtu yeyote ambaye anatoka tukuyu au ndugu wa sauli atakupa mwongozo jinsi ya kupata contact za mwl.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.