Msaada wa fasta ndugu zangu

Msaada wa fasta ndugu zangu

Wakituma wana jf 10 tu mwamba ana laki na hatarudisha hizo 90 kweli maisha akili. Simply means wanajf 10 wakimpa kumi atalazimika kurudisha Kwa Kila mmoja 20 je huu sio utapeli? Yani jioni ya Leo urudishe twice ya ulichokopa mh ....
 
Wakituma wana jf 10 tu mwamba ana laki na hatarudisha hizo 90 kweli maisha akili. Simply means wanajf 10 wakimpa kumi atalazimika kurudisha Kwa Kila mmoja 20 je huu sio utapeli? Yani jioni ya Leo urudishe twice ya ulichokopa mh ....
Hapana nataka 10K tu
 
Wakikupa 10 watu kumi utawarudishia kisa uliitaka 10?
 
Pole kwa kuibiwa, kwahiyo 10k ndo unataka ufanye nauli ya kwenda kwa mganga?
 
HUenda leo kaamka na hamu ya breakfast ya kibabe.. supu ya kuku, chapati 4 maini rosti na maziwa fresh. Mwisho kuna pepsi au maji baridii.
Amalize arud akacheze forex au kubet 😂
Yaani vitu vyote ivyo apate kwa elfu 10 ???wapi hiyoo
 
Ngoja bdae uje uzi hapa wa rip muanze kusema..... liteni tu ndio mwana kayamwaga! Asa si angesema tu tumvushe....
Binafsi kwangu yy kukwama na kuhitaji hilo teni ni kawaida ila kuahidi kulidabo tena joini ndio uhuni ulipo
 
Ngoja bdae uje uzi hapa wa rip muanze kusema..... liteni tu ndio mwana kayamwaga! Asa si angesema tu tumvushe....
Binafsi kwangu yy kukwama na kuhitaji hilo teni ni kawaida ila kuahidi kulidabo tena joini ndio uhuni ulipo
UVCCM Wamesema tupo 63m
 
Back
Top Bottom