Msaada wa dharura kuokoa zali la mentali

Msaada wa dharura kuokoa zali la mentali

Status
Not open for further replies.
Na hadi shule zifunguliwe, tutakua tumeona rangi za kila aina hapa jf.....
 
Wakuu,
nimeanguka au nimeangukiwa? mtoto wa watu nimeangukiwa yaani siamini
duniani kwa zamu.

Iko hivi, kuna maombi ya kazi nilituma kwenye kampuni moja kubwa iliyoko
Africa nzima na Tanzania mikoa yote, sasa kwa hapa mjini kwangu kumbe
meneja ni mwanadafwada, si akareply officially kabisa" Kindly visit our
office.

Mtoto wa kiume nilichonotice ni namba za simu tu, maana kwanza alijibu
late.

So siku ya siku nikaanza mambo ya kuchat, ikanoga mpaka tukaanza Phone
sex, mtoto akapandisha mzuka si akaniita geto kwake usiku wa manane,
ofcourse niliwahi kwenda siku moja kabla kwa mambo ya kiofisi, so huyooo
na bodaboda hata sikuomba anipunguzie bei mzee nililamba vitu usiku
kucha, nilimpa shughuli akawa tu ana triple orgasm, kulipokucha
nikaandaliwa bonge ya chai ati naulizwa "bebi yai unataka Omillete
au..." ndo nikajua kumbe na mayai yana aina.

Kuna mzigo alikuwa ameagiza kutoka mkoa flani ila msafirishaji akawa
anamsumbua kweli kuwa hela imepungua nikaona anahangaika kila
anayempigia simu amrushie kwenye Mpesa anadai hana, na yeye anasema
ndani ana hela ya kula tu unless adrive kwenda benki, mtoto wa kiume
nikawaza mwisho nikafumba macho nikampa 70,000 kwa M-pesa aliyokuwa
anaitaka, hakuamini.

Anyway, jana ndo nimetoka na hadi leo kumekucha mapenzi yanaendelea,
nachohitaji wakuu, nifanyeje zali la mentali hili lisiniponyoke?
anaboyfriend wake lakini hamzungumzii tunapokuwa wote yeye na boyfriend
wake wote ni matajiri, full kubadilisha magari.

Hebu nipe mbinu ili nimantain hii relationship mpango wangu ni kumdunga
mimba mwisho wa siku nichumbie ingawa ni mkubwa sana kiumri, je hii
itazaa matunda? niambie lolote unaloona liatnifikisha mahali.

Thanks.

P.S. acheni kujudge...toa pendekezo, kama huna, pita kulia lol

vip pamoja na kudondokewa umekumbuka kupima ukimwi? usije ukadondoka wew staki kuskia msiba wa mwana gf
 
Kwa hiki kistori naona Giza giza giza......,anyway kama kweli panda nae tu mgegede mpaka apagawe kudadadeki..!
 
Uko form ngapi vile? Nakutabiria utapata division 5 ile ya mwanzo mwanzo lols
 
Ngoja kwanza tumalizane na hawajamaa wa escrow tutarudi kwako we endelea kula mzigo

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Kupenda vya mdondo utakufa kama KUKU mwenye mdondo!!
 
Kama ni zali la mentali basi mshirikishe J nature.... Mpaka hapo cjaona zali zaidi ya kupewa p na omelette kwa 70K!!!! Umeangukiwa....
 
kuja kuyajenga haya maadili yaliopururuka ipo kazi yaani unatujuza jana ulizini! ukakwangua pesa ya vitabu alokupa mzee wako eti umehonga makosa mawili hayo.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom