Msaada wa dharura kuokoa zali la mentali

Msaada wa dharura kuokoa zali la mentali

Status
Not open for further replies.

Michael Ngusa

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2014
Posts
1,637
Reaction score
463
Wakuu, nimeanguka au nimeangukiwa? mtoto wa watu nimeangukiwa yaani siamini duniani kwa zamu.

Iko hivi, kuna maombi ya kazi nilituma kwenye kampuni moja kubwa iliyoko Africa nzima na Tanzania mikoa yote, sasa kwa hapa mjini kwangu kumbe meneja ni mwanadafwada, si akareply officially kabisa" Kindly visit our office.

Mtoto wa kiume nilichonotice ni namba za simu tu, maana kwanza alijibu late.

So siku ya siku nikaanza mambo ya kuchat, ikanoga mpaka tukaanza Phone sex, mtoto akapandisha mzuka si akaniita geto kwake usiku wa manane, ofcourse niliwahi kwenda siku moja kabla kwa mambo ya kiofisi, so huyooo na bodaboda hata sikuomba anipunguzie bei mzee nililamba vitu usiku kucha, nilimpa shughuli akawa tu ana triple orgasm, kulipokucha nikaandaliwa bonge ya chai ati naulizwa "bebi yai unataka Omillete au..." ndo nikajua kumbe na mayai yana aina.

Kuna mzigo alikuwa ameagiza kutoka mkoa flani ila msafirishaji akawa anamsumbua kweli kuwa hela imepungua nikaona anahangaika kila anayempigia simu amrushie kwenye Mpesa anadai hana, na yeye anasema ndani ana hela ya kula tu unless adrive kwenda benki, mtoto wa kiume nikawaza mwisho nikafumba macho nikampa 70,000 kwa M-pesa aliyokuwa anaitaka, hakuamini.

Anyway, jana ndo nimetoka na hadi leo kumekucha mapenzi yanaendelea, nachohitaji wakuu, nifanyeje zali la mentali hili lisiniponyoke? anaboyfriend wake lakini hamzungumzii tunapokuwa wote yeye na boyfriend wake wote ni matajiri, full kubadilisha magari.

Hebu nipe mbinu ili nimantain hii relationship mpango wangu ni kumdunga mimba mwisho wa siku nichumbie ingawa ni mkubwa sana kiumri, je hii itazaa matunda? niambie lolote unaloona liatnifikisha mahali.

Thanks.

P.S. acheni kujudge...toa pendekezo, kama huna, pita kulia lol
 
Kijana fuatilia kazi hayo mambo kuna kipindi yanaisha...
Hizo ni plan zako je unajua za mwenzako?
Mwanamke kuamua kuzaa ni uamuzzi wake unaweza mpa mimba na akaitoa vile vile..
 
Madogo buana! Hapa alipo ndo IQ inasoma kiusafaha kabisa! Ukikuwa utaelewa mdogo wangu, sasa hv ni umri unakusumbua tu, hamna la zaidi!
 
Wakuu, nimeanguka au nimeangukiwa?? waaaaah mtoto wa watu nimeangukiwa! yaani siamini...aki duniani kwa zamu.
Iko hivi, kuna maombi ya kazi nilituma kwenye kampuni moja kubwa iliyoko Africa nzima na Tanzania mikoa yote, sasa kwa hapa mjini kwangu kumbe meneja ni mwanadafwada, si akareply officially kabisa" Kindly visit our offices blah blah blah...mtoto wa kiume nilichonotice ni namba za simu tu, maana kwanza alijibu late.

So siku ya siku nikaanza mambo ya kuchat, ikanoga mpaka tukaanza Phone sex, mtoto akapandisha mzuka si akaniita geto kwake usiku wa manane, ofcourse niliwahi kwenda siku moja kabla kwa mambo ya kiofisi, so huyooo na bodaboda hata sikuomba anipunguzie bei...mzee nililamba vitu usiku kucha, nilimpa shughuli akawa tu ana triple orgasm, kulipokucha nikaandaliwa bonge ya chai...ati naulizwa "bebi yai unataka Omillete au..." ndo nikajua kumbe na mayai yana aina!

Kuna mzigo alikuwa ameagiza kutoka mkoa flani ila msafirishaji akawa anamsumbua kweli kuwa hela imepungua...nikaona anahangaika kila anayempigia simu amrushie kwenye Mpesa anadai hana, na yy anasema ndani ana hela ya kula tu unless adrive kwenda benki, mtoto wa kiume nikawaza mwisho nikfumba macho nikampa 70,000 kwa M-pesa alyikuwa anaitaka, hakuamini.

Anyway, jana ndo nimetoka na hadi leo kumekucha mapenzi yanaendelea, nachohitaji wakuu, nifanyeje zali la mentali hili lisiniponyoke? anaboyfriend wake lkn hamzungumzii tunapokuwa wote...yy na boyfriend wake wote ni matajiri, full kubadilisha magari. Hebu nipe mbinu ili nimantain hii relationship...mpango wangu ni kumdunga mimba mwisho wa siku nichumbie ingawa ni mkubwa sana kiumri, je hii itazaa matunda? niambie lolote unaloona liatnifikisha mahali. Thanks.

P.S. acheni kujudge...toa pendekezo, kama huna, pita kulia lol

Fikiria kama wewe ndo ungekuwa unafanyiwa ivo?? achana na hyo kitu fanya kazi ....
 
kwa hiki kistory unaonekana ni mdogo hata condom sidhan kama inakutosha....
ooh sorry hivi umesema tusiku judge ok natania!!!!
 
hii hadithi yako umekurupuka kuihadithia wakati hujaimalizia na kufikiria uitoe kwa wasomaji wa namna gani ndio kosa kubwa nililoliona.............kafanye editing afu urudi tena
 
hahahaaaaaaa eti bado inampwaya teh the the the nimecheka sana
 
hahahahah, yani elf 70 ndo wataka umtie mimba mtoto wa watu, khaa! njia zote hizi za nyota ya kijani zimeisha au?
eti ndo ukajua mayai yana aina! hahahahahhaah
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom