heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 5,757
- 8,699
Habari wakuu,
Naomba msaada wa mwenye kujua anuani na eneo ambalo ndio ofisi yake ilipo
1. Katibu Tawala Dar es salaam
2. Afisa Elimu Sekondari Dar es salaam
Nataka uamisho wa shule sasa hizo anuani ni za muhimu.
Naomba msaada wa mwenye kujua anuani na eneo ambalo ndio ofisi yake ilipo
1. Katibu Tawala Dar es salaam
2. Afisa Elimu Sekondari Dar es salaam
Nataka uamisho wa shule sasa hizo anuani ni za muhimu.