jaman wadau nimeapply kupitia tcu round3 zijafanikiwa hata moja naona nichange ndoto nkasome medical officer naomba msaada n vyuo gan vina hiyo course nkaombe make deadline n trh23
Haki ya MUNGU we dogo; Medical Officer ni cheo cha daktari mwenye degree yaani {DOCTOR OF MEDICINE (MD)}. Sasa sijui ulikuwa unamaanisha nini?
Labda alitaka kusema " AMO" assistant medical officer
Hata hivyo; AMO ni advanced diploma ya clinical medicine. Lazima uwe na diploma ya Clinical Medicine (Clinical Officer). Then unapata qualifications za kwenda kusoma Advanced Diploma ili uwe AMO.
Huyo dogo aje atueleleze alikuwa anataka nini hasa.
me nataka hyo AMO so naeza nkasoma nn ili nifikie hcho cheo
Kasome Diploma ya Clinical Medicine (3yrs) ukimaliza ndiyo unaenda kusoma tena Advanced Diploma ya Clinical Medicine (AMO for 1 yr)
vipo vyuo kibao ndugu yangu tumia internet vizur. we google vyuo vinavyotoa diploma coz ya afya utaona vingi tuu tena kama ulipiga vizur o level na uhakika una pata vya serikali vya bei ndogo kama unapenda. mungu akubariki. ila mkuu hapa kanichekesha sana. hongera sasa naona umeelewa. AMO iyo ini higher/advanced diploma so lazma uwe na ordinary diploma mfano clinical officer. inatolewa tanga pia muhimbili na baadhi ya vyuo inatolewa sema iyo lvel naskia itatolewa soon coz haitambuliki internationally me mama yangu ni nurse huwa ananipa info. vp mzee ulipiga gpa ya ngap? na kombi gan. mwenzio nimeacha hayo mambo ya afya sasa niko computer science software engineering rucu.Haki ya MUNGU we dogo; Medical Officer ni cheo cha daktari mwenye degree yaani {DOCTOR OF MEDICINE (MD)}. Sasa sijui ulikuwa unamaanisha nini?
Kuna maelekezo hayo ya kuifuta lakini sidhani kama utekelezaji wake umeanza. Though nachofahamu kumeshaanzishwa kozi iitwayo Bachelor in Clinical Medicine ambayo itakuwa mbadala wa AMO.Mbona nasikia hiyo AMO imefutwa? Ufafanuzi mkuu!
vipo vyuo kibao ndugu yangu tumia internet vizur. we google vyuo vinavyotoa diploma coz ya afya utaona vingi tuu tena kama ulipiga vizur o level na uhakika una pata vya serikali vya bei ndogo kama unapenda. mungu akubariki. ila mkuu hapa kanichekesha sana. hongera sasa naona umeelewa. AMO iyo ini higher/advanced diploma so lazma uwe na ordinary diploma mfano clinical officer. inatolewa tanga pia muhimbili na baadhi ya vyuo inatolewa sema iyo lvel naskia itatolewa soon coz haitambuliki internationally me mama yangu ni nurse huwa ananipa info. vp mzee ulipiga gpa ya ngap? na kombi gan. mwenzio nimeacha hayo mambo ya afya sasa niko computer science software engineering rucu.
hv hyo nec inalipa hasa diplma koz natak niombe baada ya kukosa tcu,msaada plz
yap course za afya zinalipa
mshahara ukoje kwa diplma
kuhusu mishahara sifahamu ila nasikia ni laki 6 hivi.
but mimi nafanya mpango nipate transfer niende clinical medicine
hv hyo nec inalipa hasa diplma koz natak niombe baada ya kukosa tcu,msaada plz