Msaada Vingamuzi vya Bure (FTA RECIVER)

Kurunzi

JF-Expert Member
Jul 31, 2009
9,271
9,900
Wanabodi nimetembelea kwenye mitandao inayouza vingamuzi vya (FTA) Free To Air je vingamuzi hivi vinaweza kutumika hapa Tanzania?

Na ikiwa vinaweza vikatumika je nahitaji dish la aina gani?

Nitashukuru kwa ushauri toka kwenu.
 
Wanabodi nimetembelea kwenye mitandao inayouza vingamuzi vya (FTA) Free To Air je vingamuzi hivi vinaweza kutumika hapa Tanzania?

Na ikiwa vinaweza vikatumika je nahitaji dish la aina gani?

Nitashukuru kwa ushauri toka kwenu.
Unataka kushika channels za free au za malipo? Kama ni za free zinafanya Ila kama ni za kulipa inawezekana zisifanye
 
Unataka kushika channels za free au za malipo? Kama ni za free zinafanya Ila kama ni za kulipa inawezekana zisifanye
Kushika za free naona receiver zingine zinaonyesha zinashika 10,000 channels
 
Kushika za free naona receiver zingine zinaonyesha zinashika 10,000 channels
kwa theory ndio zinaweza kushika ila mwelekeo mmoja unaweza ukakupa pengine chanell 60 tu, hivyo piga hesabu hapo utahitaji madishi mangapi ili upate hizo chanell 10,000 na pia eneo la kuyaweka hayo madish.

na pia kabla ya kuagiza online angalia bei za hapa kwanza, nyingi hazina utofauti wa bei huko na hapa.
 
kwa theory ndio zinaweza kushika ila mwelekeo mmoja unaweza ukakupa pengine chanell 60 tu, hivyo piga hesabu hapo utahitaji madishi mangapi ili upate hizo chanell 10,000 na pia eneo la kuyaweka hayo madish.

na pia kabla ya kuagiza online angalia bei za hapa kwanza, nyingi hazina utofauti wa bei huko na hapa.
Umejibu vizuri sana hiyo kitu labda ununue mlima ujaze madishi in different directions
 
kwa theory ndio zinaweza kushika ila mwelekeo mmoja unaweza ukakupa pengine chanell 60 tu, hivyo piga hesabu hapo utahitaji madishi mangapi ili upate hizo chanell 10,000 na pia eneo la kuyaweka hayo madish.

na pia kabla ya kuagiza online angalia bei za hapa kwanza, nyingi hazina utofauti wa bei huko na hapa.
Asante kwa angalizo Mkuu
 
Chanel 10000 za nn maana hata 60 nyingi mna. Mi kwangu nina chanel 20 ila huwa naangalia mbili tu. Tena mda wa taarif tu. Wa tz hatufanyi kazi aisee. Yaan channel elf 10 unaangalia zote
 
Chanel 10000 za nn maana hata 60 nyingi mna. Mi kwangu nina chanel 20 ila huwa naangalia mbili tu. Tena mda wa taarif tu. Wa tz hatufanyi kazi aisee. Yaan channel elf 10 unaangalia zote
Ha ha mi tv siangalii kabisa..watu wanapambana wingi wa channel
 
NAUZA RECEIVER MOJA YA SAN SAN

CHSNNEL KARIBIA 80 BUREEEEE

ZA TZ ZIPO ZOTE,WASAFI TV NA ZA NCHI MOVIE N.K

ELFU 70

UKITAKA NJOO PM
 
Back
Top Bottom