Msaada: Ushauri kuhusu gereji za wachina

Msaada: Ushauri kuhusu gereji za wachina

mkandaboy

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2012
Posts
257
Reaction score
89
Wanajukwaa habari za saa juzi? Naombeni ushauri kwa wenzangu mlio na uzoefu na gereji za wachina hapa Dsm. Ni gereji gani nzuri kwa unyooshaji wa gari iliyopata ajali ya kupinduka ? Vigezo vya uzuri ni kama ifuatavyo;
-Unyooshaji mzuri wa body
-Uharaka wa kazi
-Uaminifu wa kutunza gari na vilivyomo
Ni matumaini yangu mtanisaidia. Natanguliza shukran zangu...
 
Ni lazima wachina tu? Nasikia kuna singasinga yupo somewhere Chang'ombe/Keko
 
Wanajukwaa habari za saa juzi? Naombeni ushauri kwa wenzangu mlio na uzoefu na gereji za wachina hapa Dsm. Ni gereji gani nzuri kwa unyooshaji wa gari iliyopata ajali ya kupinduka ? Vigezo vya uzuri ni kama ifuatavyo;
-Unyooshaji mzuri wa body
-Uharaka wa kazi
-Uaminifu wa kutunza gari na vilivyomo
Ni matumaini yangu mtanisaidia. Natanguliza shukran zangu...

Ukiweza nipm
 
Nawashukuru wote; muuza sura,marxlups,mnhk, master plan na mshana Jr. Nafanyia kazi suggestions zenu..
 
Nawashukuru wote; muuza sura,marxlups,mnhk, master plan na mshana Jr. Nafanyia kazi suggestions zenu..

Karibu mkuu...ingekuwa maland rover 109 kuna mzee wa kichaga yupo kinondoni manyanya maeneo ya pachoto. .kashindikana
 
wachina majanga wanaiba vifaa na kazi sio nzuri tafuta tu wabongo wazoefu its better ukawasimamia mwenywe kuliko kupeleka gari lako kwa wachina uliache huko alafu ukachukue nusu ya gari lako
 
Wanajukwaa habari za saa juzi? Naombeni ushauri kwa wenzangu mlio na uzoefu na gereji za wachina hapa Dsm. Ni gereji gani nzuri kwa unyooshaji wa gari iliyopata ajali ya kupinduka ? Vigezo vya uzuri ni kama ifuatavyo;
-Unyooshaji mzuri wa body
-Uharaka wa kazi
-Uaminifu wa kutunza gari na vilivyomo
Ni matumaini yangu mtanisaidia. Natanguliza shukran zangu...

Double star shekilango muone manyinyu ndo mchina mstaarabu na huwa bei zake ni nzuri wengine pasua kchwa
 
Karibu mkuu...ingekuwa maland rover 109 kuna mzee wa kichaga yupo kinondoni manyanya maeneo ya pachoto. .kashindikana

Thanks again muuza sura. Huyo mzee wa ma-land rover namfahamu but alishatangulia mbele za haki. Ila naamini ameacha mikoba kwa mtu.
Hata hivyo gari yenyewe ni Toyota
 
Kuna wabongo wako kinondoni pale nyuma ya jengo la airtell nao wako vizur sana!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Back
Top Bottom