Msaada ushauri.Bf wangu na mke wa mtu.

Msaada ushauri.Bf wangu na mke wa mtu.

ms_shylo

Member
Joined
May 25, 2013
Posts
62
Reaction score
26
Boyfriend wangu alikuwa na urafiki na Dada mmoja na wakawa wanashauriana sana mambo ya kibiashara,lakini Yule Dada alikuwa anapiga sim kwa my man Kila saa, mind you she is married.My boyfriend aliniambia anadhani huyu Dada anamtaka.Jana she asked him waonane na nilimuuliza jamaa his timetable hakuniambia kuhusu kukutana na huyu dada.I forgot to mention that I had moved in na my bf! Baadae karudi msg ikaingia kwenye sim yake ghafla nikajiskia kufungua ile msg nilipo ifungua Yule Dada alikuwa akimshukuru bf wangu for the kiss na akamwambia g9t I love yu hun.I had an arguement with my man Ila he insists huyu Dada made a move.Sijui maongezi yao yalihusu nini na pia mume wa huyu Dada alikuwepo hiyo sehem Ila my man na huyu Dada walienda kuongea pembeni.nimejaribu kuifipisha hii story.naombeni ushauri wenu jamani nifanyeje?
 
kwanza move out of the house...umejirahisisha sana..atakudharau huyo bf wako.
 
Unauliza hali ya mgonjwa wakati unaona sanda.
 
I left already,but then at some point I thought I was over reacting Ndio maana nikaomba ushauri...we were so inlove,hatukufichana jambo! Na pia sipekuagi sim yake.ilikuwa past midnight msg ya Yule Dada ikaingia i wondered mke wa mtu anatumaje msg mida ile nikaamua kuisoma tu.
 
Pisha njia mdogo wangu, those are so called men (Congolese), slope (wapenda vya bure).
 
Hapa inabidi tukuulize unataka ushauri wa aina gani. Manake mgonjwa wa malaria tunamuulizaga ukiumwaga malatia unatumiaga dawa gani.

Hebu tushauri tukushairije labda.
 
Nipe ila nafuu nafuu hata kama haitibu.

Hapa inabidi tukuulize unataka ushauri wa aina gani. Manake mgonjwa wa malaria tunamuulizaga ukiumwaga malatia unatumiaga dawa gani.

Hebu tushauri tukushairije labda.
 
Boyfriend wangu alikuwa na urafiki na Dada mmoja na wakawa wanashauriana sana mambo ya kibiashara,lakini Yule Dada alikuwa anapiga sim kwa my man Kila saa, mind you she is married.My boyfriend aliniambia anadhani huyu Dada anamtaka.Jana she asked him waonane na nilimuuliza jamaa his timetable hakuniambia kuhusu kukutana na huyu dada.I forgot to mention that I had moved in na my bf! Baadae karudi msg ikaingia kwenye sim yake ghafla nikajiskia kufungua ile msg nilipo ifungua Yule Dada alikuwa akimshukuru bf wangu for the kiss na akamwambia g9t I love yu hun.I had an arguement with my man Ila he insists huyu Dada made a move.Sijui maongezi yao yalihusu nini na pia mume wa huyu Dada alikuwepo hiyo sehem Ila my man na huyu Dada walienda kuongea pembeni.nimejaribu kuifipisha hii story.naombeni ushauri wenu jamani nifanyeje?
Ukiona manyoya?


hahahaaaaa.... Kijana kajilia, magumegume mengi sana siku hizi
 
mmh!
nisawa na kumuonyesha mwanafunzi mtihani kabla,
halafu ndani ya chumba cha mtihani akaomba mtafu.
 
kwa lala na shemeji eti? mpe vitu usiku mtakatifu huu keyboard tuachie sisi masingle

ukiona hivyo ujue niko leave bana,
hujui tukikaa muda wote wawili tutaboana??
 
Eti bf wake hafanyi kitu na mke wa mtu, wanatumiana meseji tu za malavidavi.
mwambie akamuulize mume wa huyo mama hizo sms za mke wake zina maana gani? au kama vipi na yeye aanze kumtumia huyo baba
 
Una ubakika mume wa huyo dada alikuwepo??? Dalili za mvua ni mawingu bi dada hamjaoana anakiss na kudo ya wake za watu mkioana atafagia hadi mahausigelo

Shtukaaaaa
 
Back
Top Bottom