BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,230
Eti bf wake hafanyi kitu na mke wa mtu, wanatumiana meseji tu za malavidavi.
Na mwenyewe kakubali......anahisi ali-overreact.....khaaa
Eti bf wake hafanyi kitu na mke wa mtu, wanatumiana meseji tu za malavidavi.
upo mkoa gani mamii mi nipo simiyu hapaanabonyezea na kids, home na mm nabonyezea mkoa.
Unauliza hali ya mgonjwa wakati unaona sanda.
upo mkoa gani mamii mi nipo simiyu hapa
Una ubakika mume wa huyo dada alikuwepo??? Dalili za mvua ni mawingu bi dada hamjaoana anakiss na kudo ya wake za watu mkioana atafagia hadi mahausigelo
Shtukaaaaa
Nilitaka kusikia jibu nililokuwa nalo tayari atleast ningefikiri he is being honest instead of tryna make a fool of me kwa kunidanganya kama mtoto with obvious liesThanx for kiss....halafu hny...halafu ulitaka akujibu ndio tulikuwa faragha? Au ulitaka tu kusikia jibu ulilokuwa nalo tayari?
hahaha! we King'asti wewee
Pole sana mdau, katika mambo ya infidelity jibu unatakiwa kujipa mwenyewe toka kwenye matukio yaliyojiri maana ni mara chache sana watu watact honestly japo matukio wapo wazi. Kwahiyo ni watu wachache sana wanaweza kuwa na hii tunu ya "honest" katika suala la udanganyifu wa mapenzi. Jipe jibu then chukua uamuzi, ni hilo tu.Nilitaka kusikia jibu nililokuwa nalo tayari atleast ningefikiri he is being honest instead of tryna make a fool of me kwa kunidanganya kama mtoto with obvious lies
Boyfriend wangu alikuwa na urafiki na Dada mmoja na wakawa wanashauriana sana mambo ya kibiashara,lakini Yule Dada alikuwa anapiga sim kwa my man Kila saa, mind you she is married.My boyfriend aliniambia anadhani huyu Dada anamtaka.Jana she asked him waonane na nilimuuliza jamaa his timetable hakuniambia kuhusu kukutana na huyu dada.I forgot to mention that I had moved in na my bf! Baadae karudi msg ikaingia kwenye sim yake ghafla nikajiskia kufungua ile msg nilipo ifungua Yule Dada alikuwa akimshukuru bf wangu for the kiss na akamwambia g9t I love yu hun.I had an arguement with my man Ila he insists huyu Dada made a move.Sijui maongezi yao yalihusu nini na pia mume wa huyu Dada alikuwepo hiyo sehem Ila my man na huyu Dada walienda kuongea pembeni.nimejaribu kuifipisha hii story.naombeni ushauri wenu jamani nifanyeje?
Ukiona manyoya?
Nilitaka kusikia jibu nililokuwa nalo tayari atleast ningefikiri he is being honest instead of tryna make a fool of me kwa kunidanganya kama mtoto with obvious lies