Msaada ushauri.Bf wangu na mke wa mtu.

Msaada ushauri.Bf wangu na mke wa mtu.

Boyfriend wangu alikuwa na urafiki na Dada mmoja na wakawa wanashauriana sana mambo ya kibiashara,lakini Yule Dada alikuwa anapiga sim kwa my man Kila saa, mind you she is married.My boyfriend aliniambia anadhani huyu Dada anamtaka.Jana she asked him waonane na nilimuuliza jamaa his timetable hakuniambia kuhusu kukutana na huyu dada.I forgot to mention that I had moved in na my bf! Baadae karudi msg ikaingia kwenye sim yake ghafla nikajiskia kufungua ile msg nilipo ifungua Yule Dada alikuwa akimshukuru bf wangu for the kiss na akamwambia g9t I love yu hun.I had an arguement with my man Ila he insists huyu Dada made a move.Sijui maongezi yao yalihusu nini na pia mume wa huyu Dada alikuwepo hiyo sehem Ila my man na huyu Dada walienda kuongea pembeni.nimejaribu kuifipisha hii story.naombeni ushauri wenu jamani nifanyeje?

yaani hapo ni hivi.

hao wawili ni wapenzi na kuachana ni mpaka waamue wenyewe so ukitaka kula ukitaka acha.

kama huwezi kushare mapenzi mdogo wangu, hapo jiengue mapemaaaaa usji jilaumu ila kama unapenda sana ndoa then endelea na huyo mtu wako ila kaa ukijua mtakua wawili tu.
 
Kapimeni afya ili kujua kama hakuna kati yenu mwenye maambukizi ya VVU....mkiwa salama fanyeni mpango wa ndoa!
 
Ka mukia ka mbuzi unakawona unawuliza ananyea wapi? Heeee kabosiiii
 
Shosti ulimchunguza kuku wapi anapita na nini anakula hutomla maisha yako,na huyo B/F wako kama anataka ukweli kwanini asikuchukue na wewe ukaenda?au mpaka anashukuriwa kiss hujui kama alitoa ushirikiano mpaka shukrani za dhati amepewa
alafu anakwambia eti huyo mwanamke ndio alianza sijui,shosti minadhani amua moja ukubali kudanganywa kama yako yanakuendea na huyo bwana lakini akili mukichwa... au kama hana mana na wewe bora jipange huyo sie kabisa mwanamme kweli halazimishwi kufanya mapenzi wala ku kiss wala ku hug ebu shosti fungua macho....
 
Back
Top Bottom