Msaada: Ununuzi wa Toyota Passo

jubilant

JF-Expert Member
Feb 16, 2009
305
306
Bandugu amani na iwe nanyi,
Ninaomba ufafanuzi wa gari aina ya Toyota Passo

Ninatarajia kununua gari dogo kwa ajili ya safari fupi fupi, kuendea sokoni na kanisani, kwa makadirio weekly inaweza tembea 10 kmts

Kutokana na hali ya uchumi nimeona gari ambayo naimudu bila kuadhiri budget ni Toyota Passo,
ninaomba ufaafanuzi kwa wamiliki/waliowahimiliki kuhusu ubora wake, upatikanaji wa spea zake na matatizo yake ni nini naona kuna zenye cc 990 piston 3 na cc 1300 piston 4
Kwa maoni yako ni ipi unadhani ni bora?

Wasalaaam
 
Bandugu amani na iwe nanyi,
Ninaomba ufafanuzi wa gari aina ya Toyota Passo

Ninatarajia kununua gari dogo kwa ajili ya safari fupi fupi, kuendea sokoni na kanisani, kwa makadirio weekly inaweza tembea 10 kmts

Kutokana na hali ya uchumi nimeona gari ambayo naimudu bila kuadhiri budget ni Toyota Passo,
ninaomba ufaafanuzi kwa wamiliki/waliowahimiliki kuhusu ubora wake, upatikanaji wa spea zake na matatizo yake ni nini naona kuna zenye cc 990 piston 3 na cc 1300 piston 4
Kwa maoni yako ni ipi unadhani ni bora?

Wasalaaam
Nunua piston 4 maana piston tatu hazina nguvu sana na zina tatizo la kutikisika engine gari ikiwa imesimama imewasha mfano kwenye foleni.
Kuhusu spare zake ni ghali kidogo hasa ukianza badili bush n.k.
Tatizo lake jingine zina tatizo la kugonga gonga unapopita barabara mbovu sasa sijui mafundi hawajazijulia vizuri maana bongo mafundi wakiwa hawajui kitu uishia kutoa conclusion kuwa gari bovu.
All in all kwa maelezo yako inaelekea haitokuwa na mizunguko mingi so nunua tu na gari ambalo ndani lina nafasi kubwa kuliko hata ist.
Mafta inakunywa kidogo sana
 
Bandugu amani na iwe nanyi,
Ninaomba ufafanuzi wa gari aina ya Toyota Passo

Ninatarajia kununua gari dogo kwa ajili ya safari fupi fupi, kuendea sokoni na kanisani, kwa makadirio weekly inaweza tembea 10 kmts

Kutokana na hali ya uchumi nimeona gari ambayo naimudu bila kuadhiri budget ni Toyota Passo,
ninaomba ufaafanuzi kwa wamiliki/waliowahimiliki kuhusu ubora wake, upatikanaji wa spea zake na matatizo yake ni nini naona kuna zenye cc 990 piston 3 na cc 1300 piston 4
Kwa maoni yako ni ipi unadhani ni bora?

Wasalaaam
Kwa Piston 3 sikushauri,
lasivyo siku ukipata safari ya mkoani tuseme Moshi basi itabidi uwe unaenda unafika Msata unapumzika kwanza kama saa hivi ukipata supu, kisha unaenda tena mpaka korogwe unapumzika tena labda ndio mida ya msosi unaunga hapo hapo, hivyo hivyo mpaka unafika
 
Kwa Piston 3 sikushauri,
lasivyo siku ukipata safari ya mkoani tuseme Moshi basi itabidi uwe unaenda unafika Msata unapumzika kwanza kama saa hivi ukipata supu, kisha unaenda tena mpaka korogwe unapumzika tena labda ndio mida ya msosi unaunga hapo hapo, hivyo hivyo mpaka unafika
Nimefanya maamuni ya kunua piston 4. Nashukuru kwa ushauri wako ulioongeza uelewa wangu
Ubarikiwe
 
Kwa Piston 3 sikushauri,
lasivyo siku ukipata safari ya mkoani tuseme Moshi basi itabidi uwe unaenda unafika Msata unapumzika kwanza kama saa hivi ukipata supu, kisha unaenda tena mpaka korogwe unapumzika tena labda ndio mida ya msosi unaunga hapo hapo, hivyo hivyo mpaka unafika
Nimefanya maamuni ya kunua piston 4. Nashukuru kwa ushauri wako ulioongeza uelewa wangu
Ubarikiwe
 
Mi ninayo ya piston 3 nataka kufunga ya engine ya piston 4 kwa sababu zilizoainishwa hapo juu
 
Back
Top Bottom