Josey j
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 466
- 902
Habarini waungwana na shughuri zenu...
Lengo la kuandika Uzi huu ni kuomba msaada kwa anaefaham hali iliyonikuta Leo.
Sina kawaida ya kula Nazi na maji yake, lakini niliamua kunywa yale maji yanayopatikana ndani ya Nazi baada ya kuipasua , kwa sababu nmekua nikisikia juu ya faida zake
Saa moja baada ya kunywa Yale maji, hali ya mwili ilibadirika ghafla .. Kichwa kikaanza kuniuma mwili ukawa mchovu kupika maelezo.. Kwa kifupi nlikua na dalili kama za mtu mwenye homa kali sana...hadi mudaa huu hali iko vivyo hivyoo, kwa anae jua... Nakaribisha kwa ushauri wenu waungwana
Aksanteni .
Lengo la kuandika Uzi huu ni kuomba msaada kwa anaefaham hali iliyonikuta Leo.
Sina kawaida ya kula Nazi na maji yake, lakini niliamua kunywa yale maji yanayopatikana ndani ya Nazi baada ya kuipasua , kwa sababu nmekua nikisikia juu ya faida zake
Saa moja baada ya kunywa Yale maji, hali ya mwili ilibadirika ghafla .. Kichwa kikaanza kuniuma mwili ukawa mchovu kupika maelezo.. Kwa kifupi nlikua na dalili kama za mtu mwenye homa kali sana...hadi mudaa huu hali iko vivyo hivyoo, kwa anae jua... Nakaribisha kwa ushauri wenu waungwana
Aksanteni .