siwezi kufungua emails zangu mpaka niingize code ambazo zinatumwa kwenye simu yangu. bahati mbaya sana line ya airtel ambayo code hizi zinatumwa sina, yaani amepewa mtu mwengine kwani sijaitumia mda mrefu. huyo mtu aliepewa nae haitumii kwani ina takriban mwaka sasa haipatikani na sjawahi mpata. Nimehangaika sana airtel wanirudishie hii namba au wanipe code nifungulie email zangu wamegoma kabisa. wanasema namba kama imesajiliwa na mtu mwengine na kitambulisho huwezi ipata tena. nifanyeje wakuu nipate hata code tu nifungue email yangu.