Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,124
- 27,918
Mke hajapewa sifa jamani, kasema mzuri lakini ana kaubabe flaniKwahiyo mkeo sio mtamu mkuu.. yaani hanogi tuu hata kwa kulumangia.!??
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke hajapewa sifa jamani, kasema mzuri lakini ana kaubabe flaniKwahiyo mkeo sio mtamu mkuu.. yaani hanogi tuu hata kwa kulumangia.!??
Kwanini hakumwacha hapo mwanzo, binti naye alikuwa mjanja huku wanamturufu huku anatafuta mchumba safi sana, halafu hapo mseme tunaoa bikira kweli hiyo?Mwenzio anatamani amuache mkewe ili amchukue mchepuko ila ndio hivyo it is too late ila wewe umekazana kumsukumizia kwa mkewe tu. Amini usiamini huyo mchepuko ikitokea akamwomba jamaa amwache mkewe amuoe jamaa atakubali. Jamaa keshadata, chezea moyo ukipenda wewe!
Read between the lines. Mwanzoni hakumuacha mkewe kwa sababu mchepuko ulikuwa bado haujaolewa. Sasa hivi maumivu anayopitia hayamithiliki, yupo kwenye tanuru la moto. Sisi wanaume tunajijua. Ikitokea mchepuko ukarudi kwa sharti la kuolewa hatafikiri hata mara mbili, jibu litakuwa yes.
Hakumuacha kwa sababu hakuona haja ya kuoa, wanasema "kama maziwa napata kuna haja gani ya kufuga ng'ombe?" Sasa ng'ombe keshafugwa na mfugaji mwingine maziwa hapati tena unadhani akipata nafasi ya kumfuga huyo ng'ombe ataacha?Kwanini hakumwacha hapo mwanzo, binti naye alikuwa mjanja huku wanamturufu huku anatafuta mchumba safi sana, halafu hapo mseme tunaoa bikira kweli hiyo?
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Wewe bhana umenifanya nicheke. Umemkomalia kumwambia "huyo ni chaguo lakooo". Ujue jamaa anaumia. Maumivu anayopitia nayajua na ni makali sana, kwa hiyo usimuumize zaidi.
Wenzako wakipata wa hivi wanaoa awe mke wa pili.... Ndoa inafungwa hata kimila au bomani.
Binafsi nisingemuachia.
Anza kufurahia matendo ya mkeo Ila kama mkeo ni mtu wa Kilimanjaro aisee utalia kila mara iasee wale dada zangu hawawezi kukupa furaha wala kukufariji zaidi ya lawama naamini mchepuko alikuwa mtu wa mkoa tofauti na kaskazini Ila punguza mawasiliano kama miezi mi3 then ushepu uhusiano wenu kuwawa kindugu japo najua mbeleni utakuja kurudisha jeshi kwake
Kumuacha mkewe hawezi pia, otherwise angeshamuacha kitambo
Sista mzinguaji sana huyu
Ahaha hamna brother, nilikuwa tu nakuchangamsha
Mwenzio anatamani amuache mkewe ili amchukue mchepuko ila ndio hivyo it is too late ila wewe umekazana kumsukumizia kwa mkewe tu. Amini usiamini huyo mchepuko ikitokea akamwomba jamaa amwache mkewe amuoe jamaa atakubali. Jamaa keshadata, chezea moyo ukipenda wewe!
Nimeshituka kusikia kwako ni Afghanistan muda wote mabomu yanaripuka daa ndoa hizi daa na jinsi unavyoendelea kutamka Afghanistan Kabul ndiyo inazidi kuwa Gaza, pole kwa uzinzi wako!
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Kwanini hakumwacha hapo mwanzo, binti naye alikuwa mjanja huku wanamturufu huku anatafuta mchumba safi sana, halafu hapo mseme tunaoa bikira kweli hiyo?
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Read between the lines. Mwanzoni hakumuacha mkewe kwa sababu mchepuko ulikuwa bado haujaolewa. Sasa hivi maumivu anayopitia hayamithiliki, yupo kwenye tanuru la moto. Sisi wanaume tunajijua. Ikitokea mchepuko ukarudi kwa sharti la kuolewa hatafikiri hata mara mbili, jibu litakuwa yes.
Na ulinichangamsha maana nilikua nasikia hasira natamani nikupige ahahah! Sema asante kwa ushauri.
Kwa kweli huyu binti alinizidi akili nikiri! Maana siku ananiambia anakuja kutolewa mahari sikuamini..siku hiyo sikufanikiwa kuiona ila harusi na sendoff zote nilihudhuria..aisee nilihisi kulia na kucheka kwa wakati mmoja! Cha kunishangaza jamaa yuko very happy na kamzoea kbs mpk nikajiuliza kamzoea kwa muda gani! Yaani nilijiuliza maswali mpk leo majibu yk sina.
Hakumuacha kwa sababu hakuona haja ya kuoa, wanasema "kama maziwa napata kuna haja gani ya kufuga ng'ombe?" Sasa ng'ombe keshafugwa na mfugaji mwingine maziwa hapati tena unadhani akipata nafasi ya kumfuga huyo ng'ombe ataacha?
Ahahahahahahha ulitamani na kunipiga tena jamani?
Alijua akikwambia mapema ungeanza kulia. Hukuamini majicho yako kama mpenzi wako na yeye ana mpenzi wake mweeh
Yaani nilikua naona km uko na binti unamshauri anipotezee na uko na wife unamshauri anikazie nikakuvisha uadui wa ghafla! Hlf baadae nikaona nazingua aisee