King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,341
- 88,512
TV guard muhimu kama umeme wa kwenu Ray C au Fally Ipupa.
Nisaidie fundi mzuri maana tv hizi Ni majangaMuda mwingine hua sio Taa , unakuta tu Kuna capacitor imeungua, Mimi natumia Hisense na tatizo Hilo limenitokea Mara 3 ndani ya miaka 5, hasa kipindi umeme unakatika na kurudi. Hapo ni kutafuta fundi mzuri tu
Hamfikii kwenye NiniWatu tu wabishi. Hisense me naona hamfikii TCL.
Hisense ameweza kwenye washing machine front load na friji.
Go for TCL kama una hela, achana na Hisense nmetumia mpaka imeniboa TVs zao ziko limited kwenye ku customize features afu zina tabia ya kufreeze, hii ViDAA yao ya kiwaki..Hamfikii kwenye Nini
Ubora wa picha
Uimara wa tv
Sawa kakaGo for TCL kama una hela, achana na Hisense nmetumia mpaka imeniboa TVs zao ziko limited kwenye ku customize features afu zina tabia ya kufreeze, hii ViDAA yao ya kiwaki..