Msaada: TV ya TCL inazima screen na kubaki audio tu

Msaada: TV ya TCL inazima screen na kubaki audio tu

Farolito

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2018
Posts
15,041
Reaction score
35,243
Wakuu,

Nikiwasha TV nikaweka Chanel inaonyesha picha kama dk 1 tu au wakati mwingine sekunde kadhaa halafu screen inazima inabaki audio tu picha hazionekani.

Nimejaribu kusoma kijitabu cha maelezo ila sijafanikiwa, nikafanya factory reset bila mafanikio.

Naomba mwenye ujuzi anisaidie nitatue.

Asante.

............……………………………………………………………
Updates,

Wakuu,

Naona picha imerudi kama kawaida na sasa ipo vizuri haijakata tangu jana usiku.
Kuna kitu kimoja nilifanya baada ya kutafuta mtandaoni.

Nilienda settings upande wa picha halafu nikatafuta ECO settings(energy saving)

Hii ECO inahusika na kusave umeme kwahio ina option tatu Nazo ni low,high na Off.
Maana yake ikiwa on inaruhusu TV kubania(Ku save) umeme hivyo Kuna muda itakuwa inaondoa picha na kubakiza sauti tu ili kubana matumizi ya umeme.

Kwahio nilichofanya niliweka OFF hii function.

Lakini Kuna mdau pia alisema kitu kwenye post #19.labda nayo ilichangia.

Asanteni.
 
Hizi TV achaneni nazo hazinaga isshu zinawekaga mishari kama simu za sumsungu s6 edge
 
Tv yako inaweza kua Ni taa za ndani zime kufa wepeleka kwa fundi tuu mkuu
 
Wakuu,

Nikiwasha TV nikaweka Chanel inaonyesha picha kama dk 1 tu au wakati mwingine sekunde kadhaa halafu screen inazima inabaki audio tu picha hazionekani.

Nimejaribu kusoma kijitabu cha maelezo ila sijafanikiwa, nikafanya factory reset bila mafanikio.

Naomba mwenye ujuzi anisaidie nitatue.

Asante.
Hapo ni issue ya backlight. Inawezekana powersupply ya backlight ndio ina tatizo.
 
Wakuu,

Nikiwasha TV nikaweka Chanel inaonyesha picha kama dk 1 tu au wakati mwingine sekunde kadhaa halafu screen inazima inabaki audio tu picha hazionekani.

Nimejaribu kusoma kijitabu cha maelezo ila sijafanikiwa, nikafanya factory reset bila mafanikio.

Naomba mwenye ujuzi anisaidie nitatue.

Asante.

Angalia power supply inayo gawa kwenda kwenye picha na yengine inayo kwenda kwenye sauti.kutakuwa upande wa picha umekata kushinda kufikisha volt na current
 
Angalia power supply inayo gawa kwenda kwenye picha na yengine inayo kwenda kwenye sauti.kutakuwa upande wa picha umekata kushinda kufikisha volt na current
Hio kwa mimi mtumiaji nitaweza kuona au ni lazima ipelekwe kwa fundi?
 
Hio kwa mimi mtumiaji nitaweza kuona au ni lazima ipelekwe kwa fundi?

Ukipata fundi mzuri hata kupa jibu hilo.mara nyingi kesi hizo zipo upande huo.na hiyo power supply ina jitegemea ndio ufanya hivo.kutokana na umeme mdogo,mwingi .ni siku mmoja kurekebisha
 
Back
Top Bottom