afkombo
Member
- Feb 9, 2008
- 93
- 11
Habari wakuu.
Kwa wenye ufahamu juu ya suala hili naomba wanifahamishe.Napenda kufahamu kwa sasa Tanzania ni TV set gani(Flat Panel,Flat Screen) ni nzuri kati ya Philips,Sony,Hitachi,Panasonic,Samsung,LG,Toshiba na Sharp.Tusizungumzie km ni LCD,PDP,LED au 3D,ninachotaka kufahamu ni Brand tu.
Ya kuzingatia ni ubora,upatikanaji wa accesories na ukarabati pindi inapokorofisha.
Na pia Niliona picha kwa Michuzi Blog kipindi cha sabasaba mwaka jana kuna Brand nyingine kama Hisense,Haier,Konka,Prima,TCL nk zimeshaingia kutoka China,je kuna mwenye info au kuna ambaye anamiliki Moja ya Brand hizo na anazififiaje?
Natanguliza shukrani.
Kwa wenye ufahamu juu ya suala hili naomba wanifahamishe.Napenda kufahamu kwa sasa Tanzania ni TV set gani(Flat Panel,Flat Screen) ni nzuri kati ya Philips,Sony,Hitachi,Panasonic,Samsung,LG,Toshiba na Sharp.Tusizungumzie km ni LCD,PDP,LED au 3D,ninachotaka kufahamu ni Brand tu.
Ya kuzingatia ni ubora,upatikanaji wa accesories na ukarabati pindi inapokorofisha.
Na pia Niliona picha kwa Michuzi Blog kipindi cha sabasaba mwaka jana kuna Brand nyingine kama Hisense,Haier,Konka,Prima,TCL nk zimeshaingia kutoka China,je kuna mwenye info au kuna ambaye anamiliki Moja ya Brand hizo na anazififiaje?
Natanguliza shukrani.