Msaada tutani!!!

Msaada tutani!!!

geofreyngaga

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2014
Posts
667
Reaction score
974
Habari wana bodi
Naomba uzoefu wenu kwa mtu yeyote aliewai tumia hii mashine winchi hasa kwenye kazi za kubebea zege.
Aina gani nzuri, tani ngapi nzuri kwa ujenzi wetu wa wastani, matumizi yake kama kweli inafaa mtu wa ujenzi kua nayo au kama kuna lolote la ziada please share tufaidike sote.
Nawashukuru wote mtakao changia
 

Attachments

  • Screenshot_20260126_170747_Facebook.jpg
    Screenshot_20260126_170747_Facebook.jpg
    186 KB · Views: 7
Ila changamoto ni sehemu inayotegeshwa, itaweza kunyanyuka na mzigo wa tani 1 na nusu.hapo umakini unaitajika sana
Asante sana kwa ufafanyzi. Ukiachana na changamoto, unadhani ni mashine muhumu au sahihi kwa mtu wa ujenzi kua nayo? Sababu nafikiria kuinunua
 
Asante sana kwa ufafanyzi. Ukiachana na changamoto, unadhani ni mashine muhumu au sahihi kwa mtu wa ujenzi kua nayo? Sababu nafikiria kuinunua
Mara nyingi matumizi yake ni kwenye viwanda ila kwa maswala ya ujenzi sio sana.kwa iyo ni kupoteza pesa kuinunua.labda utumie kupandishia zege ukiwa unamwaga slab
 
Yes, inatumika mara nyingi kwenye kumimina slab na ndo nahisi mwandishi anataka ya kazi hio
 
Yaan hio ni inatumika kusaga na kukoboa au sijaelewa mimi?
Badala ya watu kupandisha zege juu na vindoo hii huwa mounted juu na ndo inatumika kama winchi ndogo inatoa zege chini kupeleka juu.
 
Back
Top Bottom