Msaada: Tumetapeliwa!

Kupitia hii njia wamepigwa wengi ..... Hasa wale wanaojiona wale hawawezi kutapeliwa kirahisi rahisi
 
Kwa hiyo mke kajiibia pesa kwa kushirikiana na wakala?
You never know.

Kuna mtu siku moja alishauri......

Hata vyeti ...namaanisha academic certificates na vyinginezo ni vizuri mwenza wako asivizoee namaanisha ikiwezekana asivione....

Anaweza kukusababishia usumbufu ....sembuse fedha?

Mwanzoni huo ushauri sikuuelewa ...ILA Kwa kadiri wanandoa wanavyopigana matukio naanza kuufikiria
 
Uko sahihi mkuu wala sishangaii kwa Tukio hilo, Trh 30/2/2020 nilimrushia rafk yangu pesa kwa akaunt ya Nmb kwenda Nmb kupitia nmb mobile ile pesa ikaenda na sms akapata. laki 3. Lakini alivyokwenda bank ile pesa hakuikuta. wote tukashangaa.

Tarh 7/3/2020 nikamrushia pesa rafk yangu mwingine laki 2 kupitia cm hivo hivo naye tena hakukuta ile pesa ila kwangu zinapungua wao hazionekani.

Niliwaza sana nikaenda bank kuchukua bank statement sikupata msaada nikapiga voda sikupata msaada.

Baadaye nikawaza sana sana sikujuwa hizo pesa zinaenda wapi??.

ikabidi sasa niwaze nje ya boksi kwa MAIT na majanja wa cm mwisho cku tukapata majibu kuna rafk yangu alikuwa anawasiliana na mimi dairy baadaye akahaki line yangu so nilikuwa nikituma pesa anazidaka juu kwa juu ila kwa mhusika inaenda sms pesa hakuna.

MUNGU HANA KAMATI KATIKA MAAMUZI NAMSHKRU YULE JAMAA MPAKA SASA AMETANGULIA AHELA MADUKANI.

Kwa hiyo wezi wako vzr sana.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Customer waliohudumiwa kabla ya mkeo mna uwezo wa kuwapata?

Jibu kama ni ndio uwezekano wa kumpata mwizi wenu upo kwa 90%
 
Ila ungedadavua kidogo kuhusu njia hiyo ya predectoin

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Hao wateja wote walikua Ni feki mlengwa hapo mkeo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu am sorry to say"mkeo ana mzaha na vitu serious".labda anajua mengi zaidi ya aliyokueleza.

au huhusiki kwa namna yoyote na upatikanaji wa hiyo pesa!!!!,maana tusimpangie sana namna ya kufeel
.
 
Afu mtu yoyote anaetapeliwa cha kwanza ni lazima awe mtu wa tamaa, Kwenye swala la kuweka mtu sehemu sensitive za hela ivo mchunguze kwanza kama ni mtu wa tamaa tu ataibiwa afu tumeshatoa angalizo pia smartphone sio secure kabisa katika swala la mawasiliano ziko vulnerable sana na mtu anaetumia smartphone anakuwa targeted kirahisi kuliko anaetumia basic phone, Mimi smartphone kwangu ina chip kwa ajili ya net tu na wala hio chip sipigi simu wala sms ni Kuweka mb tu nakuperuzi tu ila the rest comms nazifanya kwa Vitochi na najihisi niko save and secured, Japo Hivi Vitochi navyo mamlaka ya nchi yanaweza kuwa na calls na Sms logs ila kama sio threat basi haina shida, smartphone zote nazo kwenye izo apps kama whatspp na telegram ni very secured na ziko na end to end encryption
 
Hiyo kali. Ndo maana mm simuamini mtu yyte.
Mkuu huu msiba ni wa jirani ndiyo maana unasema hivyo.

Hauwezi kupisha chambo cha tapeli, maana haukosi udhaifu wa kibinadamu na ndiyo fursa yao.

Wewe kama upo strong, basi washua hupitia hata kwa mama watoto ili akushawishi ulegee!

Tapeli hana sura wala rangi, yaani ni shetani anayekunasa kwa udhaifu wako wa sekunde1, ana uwezo wa kukulia mingo ya mwaka mzima kusubiria udhaifu wako wa sekunde!

Mimi ni mgumu na ni mjanja, lakini nikikusimulia kisa cha namna nilivyotapeliwa utastaajabu!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole mkuu wamenipiga hta mm 223000 kwenye simu yangu alikuja km hvyo kwako nkamkabidhi cm akacheza nayo akaniambia huna salio la kawaida nataka mia tu ndio kosa hpo,sijui akafanyaje akahamisha hzo hela

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Yoote uliyosema uko sahihi. Tapeli ni mtu mjanja sana na ana mbinu nyingi. Binafsi mm ni mgumu na hua simuamini mtu yyte, ila siku tumetoka na wife alijikuta mikononi mwa matapeli.

Moro msamvu pale kuna wahuni walkua wanajfanya wana kampuni na wanagawa vitenge bure pamoja na CD ili mkautangaze kampuni. Nkawatilia shaka ila wule kakomaa et twende.

Wahuni wale kufika tu et wanakupa coopon. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜. Et unashika ile coopon yenye namba, na CD mkononi na kitenge. Yaani unachezeshwa kamari bila taarifa.


Nkamwambia wife ebu tuondoke acha ujinga, kumbe ashatoa buku ten tayar ili ashinde tv. qmmk. Nilitaman nimzabe makofi pale.

Ila niliwakomalia kibabe ile hela waliitoa. Mjini wahuni wengi sana.

Kuna mhuni mwingne niko zangu namsikiliza mbowe akihutubia, ananiijia et nimpe simu yangu aingie youtube chanel ake. Kumkazia akataka nimpe simu ndogo, nkamkata jicho, ikabid asepe tu. Wahuni ukiwapa muda kiduchu umeisha.



Nipe story mkuu, ilikuaje kwa upande wako?
 
pole sana mkuu, wizi level za CIA na FBI. hapa tanzani police mmmh sio wajanja hivyo ila nenda tu kuweka mambo sawa. ila kipindi cha mwanzoni simu zilipoanza kuwa smart nk. huo mchezo unawezekana kwa ku bypass hizo APN nk. ukiangalia hapo kuna utofauti kati ya mtandao mmoja na mwingine. jaribu kufuatilia.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Kuna kitu kimesahaulika hapa. Kwamba yule aliyeathirika na wizi huu alikuwa anahitaji kujiunga na vifurishi vya chuo. Iwapo ni mwanachuo, basi yaliyotokea yanasikitisha. Lakini kama ni katika kutaka unafuu wa bei naona hapo kakosea. Tamaa ya kupata nafuu imemponza akakosa yote. Daima ogopa vitu rahisi rahisi, vingine vitakuliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…