kwa hiyo EGM pamoja na kupigika na Math's at the end of the day unakutana na aliyepiga HGE. Ina maana hakuna kitu atachoapply wa EGM na HGE akashindwa kuapply?
kwa hiyo EGM pamoja na kupigika na Math's at the end of the day unakutana na aliyepiga HGE. Ina maana hakuna kitu atachoapply wa EGM na HGE akashindwa kuapply?
kwa hiyo EGM pamoja na kupigika na Math's at the end of the day unakutana na aliyepiga HGE. Ina maana hakuna kitu atachoapply wa EGM na HGE akashindwa kuapply?
kwa hiyo EGM pamoja na kupigika na Math's at the end of the day unakutana na aliyepiga HGE. Ina maana hakuna kitu atachoapply wa EGM na HGE akashindwa kuapply?
ni kweli zaidi ya hapo kuna baadhi ya kozi za engineering EGM anaweza kuchukua MFANO SOFTWARE engineering ambayo inahitaji sana uwezo wa hesabu na physics kidogo na kozi nyingine kama IT cha muhimu ni kufanya vizuri tu advance hasa hesabu na geog ukifeki hapo hauna tofauti na HGE.mtu aliyesoma egm ana advantage ya kusoma programs kama IT,statistics,actuarial sciance,geology, computer sciance,building economics,arctecture engineering,surveying nk.binafc nlisoma Hge na nlikua na ndogo ya kusoma geology chuo kikuu bt mwisho wa cku nkajikuta nasoma bcom ambayo kwa sasa ishakua yeboyebo,so dogo ushauri wangu kwako,ni kama una kichwa cha kupambana na pure mathematics huko advance kasome Egm ili ukimalza uwe na machaguo mengi ya kusoma..kuhusu hge,nayo ni kombi nzuri bt ukifka chuo kikuu kuna programs ambazo hautaweza kudahiliwa kuzsoma hata ka una dv 1.3,ila ka shida yako we ni kupata dv 1 yenye points kali bac komaa na hge ndo rahc kutoka.
kwa hiyo EGM pamoja na kupigika na Math's at the end of the day unakutana na aliyepiga HGE. Ina maana hakuna kitu atachoapply wa EGM na HGE akashindwa kuapply?