Msaada teckno m3,p3,s3,l3 nini tofauti yake.

Msaada teckno m3,p3,s3,l3 nini tofauti yake.

Ni Arusha kuna duka linaitwa Saraya phones, na lingine linaitwa Dubai phone. pia maduka mengine wanauza bei hiyo hiyo

mkuu wapi hapo 150000 kuna wahafidhina wanataka niuzia kwa 174000 nisaidie fasta nikachukue.
 
Back
Top Bottom