Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,845
- 52,251
Nina mdogo wangu amefaulu vizuri kiasi,
Ana division two ya 12 PCM.
aliomba Engineering UDSM ila ametemwa kwenye first and second round,
Kwenye third imebidi aombe Course nyingine kabisa.
Je kuna namna anaweza kupata zile nafasi zinazobaki kwa wanafunzi wanaoghairisha masomo (kwa pale UDSM)
kama kuna mdau anaweza nisaidie please please , hata akipata engineering chuo kingine chochote tafadhali Wakuu.
Ana division two ya 12 PCM.
aliomba Engineering UDSM ila ametemwa kwenye first and second round,
Kwenye third imebidi aombe Course nyingine kabisa.
Je kuna namna anaweza kupata zile nafasi zinazobaki kwa wanafunzi wanaoghairisha masomo (kwa pale UDSM)
kama kuna mdau anaweza nisaidie please please , hata akipata engineering chuo kingine chochote tafadhali Wakuu.