Msaada tafadhari kuhusu kutotumiwa namba ya usajili

Msaada tafadhari kuhusu kutotumiwa namba ya usajili

Kijana Jr

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2016
Posts
564
Reaction score
868
Habari wakuu msaada una hitajika.

Tafadharini Kwa mwandiko mbaya.

Niliomba kazi Kwa kutumia njia ya mtandao utumishi Secretariate ya Ajira nikabahatika kuona jina langu nimeitwa kwenye interview

Ila katika akanti yangu sijatumiwa namba ya interview. Tatizo nini?

Je, naweza pata namba nikienda eneo la interview inapofanyika.
 
Nenda sehemu ya interview ukiwa na index no ya jina lako namba ya usahili utapewa kule
 
Sorry natoka nje ya mada.... kwa siku tatu sasa tunaaply tumeweka vigezo vyote wanavyotaka ila tunajibiwa academic qualifications siyo hii changamoto inatatuliwaje

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Hili sina ujuzi nalo ila nahisi itakuwa kuna problem mahali fulani.Ungejaribu kuwapigia au kwenda kwenye ofisi zao directly kama upo DSM
 
Back
Top Bottom