Heshima kwenu.
Mi naomba kufahamu kuna uhusiano gani kati ya matumizi ya umeme na the so called "tariff"?
Ukiangalia risit za kulipia LUKU, chini kabisa kuna sehemu imeandikwa tariff.
Nimeambiwa ziko tarif 1 mpaka 4 na kila moja inatofautiana na nyingine katika matumizi.
Je, kuna mtu anaweza kunifafanulia hili?
Mi naomba kufahamu kuna uhusiano gani kati ya matumizi ya umeme na the so called "tariff"?
Ukiangalia risit za kulipia LUKU, chini kabisa kuna sehemu imeandikwa tariff.
Nimeambiwa ziko tarif 1 mpaka 4 na kila moja inatofautiana na nyingine katika matumizi.
Je, kuna mtu anaweza kunifafanulia hili?