ndugu wana jamvi, ninaomba msaada kwenye tuta, hasa kama kuna mtu ana kibao(wimbo) wa urafiki jazz band unaitwa kwa mjomba anitundikie hapa ili nijikumbushe hapo zamani kidogo. kwenye maduka nimekosa nikaona bora nijisalimishe humu jamii forum kwani kwenye wengi hapaharibiki kitu.
natanguliza shukrani
natanguliza shukrani