Msaada tafadhali

Msaada tafadhali

Nchi Kavu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2010
Posts
4,289
Reaction score
2,472
Kwa wataalam wa masuala ya video editing kuna kazi tulishut kwa 60fps ambayo ni ntsc. Resolution ni 1920 x 1080. Sasa imeshahaririwa na kuwa exported. Nataka niihamishie kwenye pal na quality isishuke. Nimeshajaribu sana ila naona picha haiko smooth kabisa. Msaada kama kuna mtu anajua namna ya kuibadili kwenda pal bila kupoteza ubora wake
 
Nifahamishe kuhusu hii mkuu
ni video converter ina option nyingi za output kama bitrate, fps, hizo pal etc unachagua mwenyewe unataka output iwe vipi.

google tu handbrake ni software ya bure
 
ni video converter ina option nyingi za output kama bitrate, fps, hizo pal etc unachagua mwenyewe unataka output iwe vipi.

google tu handbrake ni software ya bure
Mkuu nashukuru, japo nimekutana na kikwazo hapo wakati wa installation. inasema The .NET framework 4.6 is not supported on this operating system. Najaribu kutafuta ufumbuzi ndio niendelee
 
Mkuu nashukuru, japo nimekutana na kikwazo hapo wakati wa installation. inasema The .NET framework 4.6 is not supported on this operating system. Najaribu kutafuta ufumbuzi ndio niendelee
unatumia os gani?
 
Naona bado imenigomea. Pengine nifanye mawili; ku update OS kwenda 10 au kama kutakuwa na alternative ya software nyingine.
kabla ya kwenda software nyengine win 7 yako ni service pack 1? maana hio .net wameandika kabisa sp1,
 
kabla ya kwenda software nyengine win 7 yako ni service pack 1? maana hio .net wameandika kabisa sp1,
Hapana. Nilisoma maelezo kuwa chini wa windows edition kama hiyo sp1 haipo basi ufungulie windows update. Maelezo sikuyaelewa vyema. Naipataje hiyo sp1?
 
Hapana. Nilisoma maelezo kuwa chini wa windows edition kama hiyo sp1 haipo basi ufungulie windows update. Maelezo sikuyaelewa vyema. Naipataje hiyo sp1?
una update pc tu itakuja yenyewe automatic, ila kama ulifunga updates jiandae gb kadhaa za internet kufanya hio update.

nenda control panel halafu system and security utaona windows update
 
una update pc tu itakuja yenyewe automatic, ila kama ulifunga updates jiandae gb kadhaa za internet kufanya hio update.

nenda control panel halafu system and security utaona windows update
Duh! Nilifunga updates kitambo kweli. Ngoja nikafanye hivyo. Nashukuru kwa maelezo yako, mkuu
 
Back
Top Bottom