Msaada tafadhali: Online Materials/books on Tanzanian Politics

TANMO

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
11,502
11,248
Wakuu kuna mtu anahitaji kuandakia report kuhusu Tanzania na akaniomba nimpe mwongozo ni wapi anaweza kupata online materials katika lugha ya kiingereza yanayozungumzia Siasa ya Tanzania na Demokrasia ya vyama vingi nchini kwetu.

Natanguliza shukrani wakuu.
 
Muelekeze aende Amazon.com, vitabu vipo vingi tu kuhusu Tanzania.
Mkuu i beg to differ ndio vitabu vipo ila vingi kwanza authors ni from outside (kwahiyo sijui reasearch zao kama zilikuwa perfect) this makes it vitabu vingi viwe ni according to outside audience.., Pia kama jamaa alivyosema ni kwa ajili ya research (sasa amazon kitabu average ni 15USD) kweli mtu wa kawaida kuandika reasearch can he afford..,

Tena bora Amazon, am sure kwenye libraries zetu ni vumbi tupu..

nimesearch tanzanian politics nimepata 421 results
Amazon.com: tanzania politics#

nimesearch multiparty in Tanzania nimepata 28 results Amazon.com: tanzania politics

My Take
Sababu most of this ni educational kuna umuhimu wa ku-upload materials nyingi online (kuwe na database ya taifa), in pdf format... (all the books), tusipoangalia tutakuwa tunapoteza materials muhimu ambazo watu walipata tabu kuziandaa, pia wasomi wetu inabidi wajikite zaidi kwenye kuandika vitabu..., generation from now watategemea tulichokiandika sisi... ama sivyo tunaloose our identity
 
Mkuu i beg to differ ndio vitabu vipo ila vingi kwanza authors ni from outside (kwahiyo sijui reasearch zao kama zilikuwa perfect) this makes it vitabu vingi viwe ni according to outside audience.., Pia kama jamaa alivyosema ni kwa ajili ya research (sasa amazon kitabu average ni 15USD) kweli mtu wa kawaida kuandika reasearch can he afford..,

Tena bora Amazon, am sure kwenye libraries zetu ni vumbi tupu..

nimesearch tanzanian politics nimepata 421 results
Amazon.com: tanzania politics#

nimesearch multiparty in Tanzania nimepata 28 results Amazon.com: tanzania politics

My Take
Sababu most of this ni educational kuna umuhimu wa ku-upload materials nyingi online (kuwe na database ya taifa), in pdf format... (all the books), tusipoangalia tutakuwa tunapoteza materials muhimu ambazo watu walipata tabu kuziandaa, pia wasomi wetu inabidi wajikite zaidi kwenye kuandika vitabu..., generation from now watategemea tulichokiandika sisi... ama sivyo tunaloose our identity

Mkuu nashukuru kwa ushirikiano wako na nitampa huo mwongozo jamaa ajicheki kama atanunua au la....
 
Back
Top Bottom