Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
- Thread starter
- #61
Naunga mkono hoja!Maneno ya wasiojiamini hayo!
Naunga mkono hoja!Maneno ya wasiojiamini hayo!
kwa mtaji uo wengi hatutaolewa, au hakuna kumwonyesha mshahara tu..mpaka kieleweke
Wala asingeweza kumfanyia hivyo,Siku akipigishwa deki mtamshangaa na kumuonea huruma vile vile
Mwenzangu!mie naona hawa viumbe km hawaeleweki vile!kwa mtaji uo wengi hatutaolewa, au hakuna kumwonyesha mshahara tu..mpaka kieleweke
My dia,mie naona tu hawa watu km siwaelewi!Wanaume wengi hawapendi kuzidiwa pesa na mwanamke.........si unajua tena huwa wanapenda kuwa kichwa kwa maeneo yote. Ni wachache sana ambao wanakubali kuwa na mke akiwa amemzidi pesa...na wengine inatokea hivyo wakiwa tayari wameshaona, so hana jinsi ya kuchomoka tena.
Yeye mdada ajipange upya, Mungu atampa wa kwake. Pole yake.
Nni kweli,ww upo upande gani?Tumeumbwa tofauti sana....
Rafiki nakusalimu. Sijakuona kwenye mitaa yote. Imekuwaje?
Mwenzangu,huyu hata sijui ni wa mwaka gani?huyo mwanaume ni wa aina yake wanaume wa siku hzi wanaangalia kama mkoba wa mdada una notinamshangaanadhani huyo ni mmoja katika milioni tatu hongera zake
Mwambie mkoloni wake akirudia tena namwagia laana kikojoleo chake kihamie kisogoni.......... hawezi kutuondolea rafiki yetu mtaani hapa kwa muda mrefu namna hii!Rafiki, ni kweli nimepotea kwa muda. Mkoloni alininyima ruhusa ya kukatiza mitaa ya huku.....otherwise niwamiss sana marafiki zangu wa MMU.
My dia,mie naona tu hawa watu km siwaelewi!
Mie nadhan wanatakiwa wabadilike tu coz km mtu anampenda na kumheshimu tatizo ni nn!
Binti anasema atajitahidi kutafuta namna ya kumwelewesha jamaa km ikishindikana basi atamshukuru mungu na kuendelea na maisha!
Hili ndilo Neno la ODM na Keren andaskoo Happuch!Kama walivyosema wengine, kama kweli alimpenda, hilo la pesa asingeliona. Lakini naona kuna walakini. Asilazimishe....asije akajuta baadaye.
kweli kabisa, mwanaume kujiamini.. sasa ina maana wenye pesa wanaolewa na pesa ama?Usijali,nipo MWANAUME ninaejiamini na nisietishika hata kama una mapesa kama Oprah,njoo kwangu uone!
Khaaaa,makubwa!
Kwa hiyo hata ww ikitokea mkeo akapandishwa cheo na maalawansi yakaongezeka na kupita kiapto chako utamwacha?
Baba hapa nimekuelewa vizuri kbs,Hapa lazima tuangalie malezi ya pande mbili:
Je, mwanamke alilelewa na kuaminishwa nini katika kumiliki mali?
Je, mwanaume alilelewa na kuaminishwa nini, juu ya mwanamke kumiliki mali?
kama mwanamke aliaminishwa kwamba kuwa na mali ndio kila kitu, kwa maana ya kwamba, hakuna wa kumbabaisha as long as ana ukwasi wa kutosha, huyu hawezi kuiheshimu ndoa yake, na kama mume hatakuwa na busara za kutosha (hata hivyo wengi hawana) ni kamwe hawezi kuendelea na ndoa hiyo. kama mwanamke amelelewa kaika maadili kamwe uwezo wake wa kifedha hauwezi kuyumbisha ndoa yake.
Kwa mwanaume ni mtihani kidogo, malezi tuliolelewa tulio wengi, yanahitaji busara ya hali ya juu sana kuishi na mke aliyetuzidi kipato, wengi tumeamishwa kwamba mwanamke hastahili kumiliki mali, hata kama ana mali basi mume ndiye mmiliki, akiamua kutumia mali hiyo kuhonga mahawara ni haki yake, na hata akiamua kutumia mali hiyo kuolea mke wa pili, pia hilo halipaswi kuhojiwa, kwani yeye ni kichwa cha nyumba.
Wanaume bado tunayo safari ndefu ya kukabiliana na changamoto hii..........................
always pointless
My broda,hiyo si ndio safi,
Ukiona mtu anataka mkapime jua anakupenda na kukujali!
Uko sahihi mpendwa,Kama walivyosema wengine, kama kweli alimpenda, hilo la pesa asingeliona. Lakini naona kuna walakini. Asilazimishe....asije akajuta baadaye.
Let's be honestly bana.. Alwayz tunapotaka kuingia kwenye mahusiano hiyo kitu ndo huwa inakuwa Reference Point. Mzigo kwanza then mambo mengine baadaye.
So, u shud thank him kwa kuuliza swali hilo..!!
Mwambie mkoloni wake akirudia tena namwagia laana kikojoleo chake kihamie kisogoni.......... hawezi kutuondolea rafiki yetu mtaani hapa kwa muda mrefu namna hii!
Ewaaaaaa......... bali kinatafunwa. Sawa?Uko sahihi mpendwa,
Kisicho riziki siku zote hakiliki!