Msaada tafadhali: Jinsi ya kupata hati ya nyumba

Msaada tafadhali: Jinsi ya kupata hati ya nyumba

kama una shamba na huna document yyote kuonyesha kuwa ww ndo mmiliki, basi umiliki huo ni batili, unatakiwa kufikishwa kwenye vyombo vya sheria, ueleze unamiliki vp ardhi bila kuwa na docs!!
Achl longolongo. Mlalamikaji atakuwa nani?
 
Navyojua kama eneo alijapimwa lazima ulipie kupimiwa au mji organize watu wa eneo hilo mpimiwe as a block ila kama ni ww peke yako mpunga utakuwa mrefu...kwanza kamilisha taratibu za mirathi then uendee ofisi za arthi kwa maelezo zaidi ila uandae kama kilo tano ivi coz mpaka upate ile hati original sio mchezo ambayo huwa ni karatasi gumu ivi la kijani...
Naomba unielekez taratibu za mirathi kukamilisha unatakiwa uanzie wapi
 
Back
Top Bottom