Msaada tafadhali: Jinsi ya kupata hati ya nyumba

Msaada tafadhali: Jinsi ya kupata hati ya nyumba

kama una shamba na huna document yyote kuonyesha kuwa ww ndo mmiliki, basi umiliki huo ni batili, unatakiwa kufikishwa kwenye vyombo vya sheria, ueleze unamiliki vp ardhi bila kuwa na docs!!
 
Jamani mambo vipi?
Nina shamba langu la hekari 5. Naitaji kupata Hati au document yoyote ya umiliki ya serikali.

Kuna yeyote anayejua mchakato wake anisaidie?
Salama tu.Kwanza inategemea eneo lako liko wapi.Kama liko ndani ya kijiji hati ya umiliki utakayoipata ni ya Kimila na hii eneo hilo lazima liwe na mpango bora wa matumizi,alafu mipaka ya eneo lako ndio inachukuliwa alafu unaandaliwa hati yako kwa Afisa Ardhi Mteule wa halmashauri husika.
Kama Ardhi iko mjini unatakaa kuipima viwanja vya makazi basi unaandaliwa mchoro wa mipango miji alaafu unapitishwa kwenye kikao cha Uchumi kwenye halmashauri husika alafu unapelkwa wizarani kwa approval.Ukishakuwa approved unarudi alafu unafuata upimaji alafu nao unapelekwa kwa approval na wizara alafu ndio ukirudi basi Afisa Ardhi Mteule ndio anakumilikisha.
 
Salama tu.Kwanza inategemea eneo lako liko wapi.Kama liko ndani ya kijiji hati ya umiliki utakayoipata ni ya Kimila na hii eneo hilo lazima liwe na mpango bora wa matumizi,alafu mipaka ya eneo lako ndio inachukuliwa alafu unaandaliwa hati yako kwa Afisa Ardhi Mteule wa halmashauri husika.
Kama Ardhi iko mjini unatakaa kuipima viwanja vya makazi basi unaandaliwa mchoro wa mipango miji alaafu unapitishwa kwenye kikao cha Uchumi kwenye halmashauri husika alafu unapelkwa wizarani kwa approval.Ukishakuwa approved unarudi alafu unafuata upimaji alafu nao unapelekwa kwa approval na wizara alafu ndio ukirudi basi Afisa Ardhi Mteule ndio anakumilikisha.
Nnaposema anakumilikisha sina maana ye ndio anatoa hati moja kwa moja bali yeye anakuandalia ankara ya malipo.utakayolipa alafu ndiio ukishalipia baadhi ya malipo kama registration fee,pesa ya deed plan na land rent na stamp duty anakupatia letter of aknowldgment(ilijulikana kama offer) then yeye anaziwasilisha kwa kamishna wa ardhi kwa ajili ya hati ya umiliki mjini.Yaan Granted Right Of Occupancy
 
Jamani mambo vipi?
Nina shamba langu la hekari 5. Naitaji kupata Hati au document yoyote ya umiliki ya serikali.

Kuna yeyote anayejua mchakato wake anisaidie?
Well said
 
Nnaposema anakumilikisha sina maana ye ndio anatoa hati moja kwa moja bali yeye anakuandalia ankara ya malipo.utakayolipa alafu ndiio ukishalipia baadhi ya malipo kama registration fee,pesa ya deed plan na land rent na stamp duty anakupatia letter of aknowldgment(ilijulikana kama offer) then yeye anaziwasilisha kwa kamishna wa ardhi kwa ajili ya hati ya umiliki mjini.Yaan Granted Right Of Occupancy
hizi taratibu zimebadilika kidogo siku hizi hakuna offer....uliza vizuri
 
Ukiangalia sentensi yangu vizuri nimesema inaitwa LETTER OF AKNOWLEDGMENT na kwenye mabano ndio nimesema(ILIJULIKANA KAMA OFFER)
 
Wakuu habari zenu,

Ninaomba mtu anitaarifu namna ya kupata hati ya nyumba yaani requirements zinazohitajika hadi ipatikane na muda gani inachukua kwa process zote kukamilika.

Natanguliza shukrani.
 
Nenda halmashauri yako mkuu utapewa taratibu zote, kama pamepimwa ni rahisi sana vinginevyo itachukua muda sana
 
Nenda halmashauri yako mkuu utapewa taratibu zote, kama pamepimwa ni rahisi sana vinginevyo itachukua muda sana

yan swali langu jinginE NI kwaMba mtu yoyote anawezA ishuhulikia au?? au kuna vitu unaenda navyo like hati ya kiwanja or
 
Nipo DSM,nilifanya utaratibu wa KUPATA hati ya NYUMBA nikampata Saveyor moja tukakubaria naakaanza KAZI alikuwa kila hatua anayofika anakuja kunipa ripoti Na mwisho akaja akaweka mawe sasa tatizo likaja kwenye KUPATA hiyo hati kwakifupi Sijafanikiwa.Naomba mwenye uelewa Na hili tafazari aniongoze
 
Kwa maelezo yako, hiyo ni hati ya ardhi/kiwanja ulikua unafuatilia. Hayo mawe aliyoweka (beacons), zina mchoro wake ambao ndiyo ramani ya ardhi/kiwanja chako. Je, surveyor alikupatia huo mchoro?
 
Naombeni msaada wenu wana jamvi nahitaji kujua procedures za kufuata ili kupata hati ya mashamba na nyumba
 
Back
Top Bottom