Msaada tafadhali, hali ni tete

Msaada tafadhali, hali ni tete

Maskini weeee mleta mada kaingia mitini.....seems kesho tutatangaza msiba JF. usijidhuru ndg yangu nenda kapime kwanza usije ukajinyonga mapema. AIDS sio mwisho wa maisha maana kuna daluli zote mwenzio ni muathirika.
 
Muambie achukue documents zinazohusiana na matibabu ya ugonjwa wake kisha muongozane hadi kwa dokta unaemuamini ili akueleze kuhusu huo ugonjwa wake na ikiwezekana mtapima baadhi ya vipime iwe kama uthibitisho wenu coz unaweza ukamkimbia kumbe ni jambo la mpito tu,kumbuka ukimvumilia mpz wako wakati wa matatizo ndivyo utavyopanda rank kwenye moyo wake pale matatizo yatakapoisha.
 
Mkapime. Hata hivyo mpenzi wako ulishindwa kumpeleka hosp. hadi ukamwambie akatibiwe kwao inaonyesha hauwajibiki fresh.
 
Watu wameonyesha hali ya juu ya insensitivity na kuhitimisha bila hakikisho ati anaweza kuwa ni tested +ve. Kimsingi mkuu wewe hapo jaribu kuoanisha matukio ikiwa ni pamoja na tofauti ya muda mliokuwa mbali, hospitali alipotibiwa pamoja na aina ya sumu alionayo kama kujiridhisha. Unaweza fanya hivyo kama namna ya kutaka kuchukua hatua ya kuyatoa madoa huku wewe ukiwa na dhamira ya kujiridhisha. Pia unaweza fanya ur blood screening na kisha na yeye pia ukamuombe mfanye wote ikiwa ni maadhimisho ya siku ya aids mwezi ujao. Mwambie huo ni mpango wako kuwa kabla ya siku ya aids unapima....kuna mizio inayoacha hizo alama na sio hiv mojakwamoja.
 
Baada ya kustuka usingeruhusu haya yote yatokee, ungesepa bila kuaga. Ona sasa una mawazo ambayo hujajua mwisho wake.

Hapo kusepa kusingemsaidia kitu, maana tayari alishagonga kwa saana tu..!! vitatu, vinne mpaka huyo demu alipopigwa mkanda wa jeshi ndipo walipopumzika. Asukutue mdomo wakati tayari sumu keshameza...??!!
Alidhani huo ujuzi na manjonjo ya chumbani amejifunzia kwake, tena ni mzuri ambaye hajawshi ona.. na wakware wengine yawezekana walishamwona.
 
Anza kufanya mazoezi.
Kula vizuri.
Pata muda mwingi wa kupumzika.
Kumbuka kizuri huli mwenyewe.
Mchimba kisima, huingia mwenyewe.
Ahsante kwa kunielewa we mtoa mada.
 
Hapo kusepa kusingemsaidia kitu, maana tayari alishagonga kwa saana tu..!! vitatu, vinne mpaka huyo demu alipopigwa mkanda wa jeshi ndipo walipopumzika. Asukutue mdomo wakati tayari sumu keshameza...??!!
Alidhani huo ujuzi na manjonjo ya chumbani amejifunzia kwake, tena ni mzuri ambaye hajawshi ona.. na wakware wengine yawezekana walishamwona.

kaah! Kwa staili hii anaweza akafa kwa presha kabla hata hajaenda kupima, mnamtisha sana mwenzenu kuweni makini hata maneno pia ni sumu yasije yakamuua
 
kaah! Kwa staili hii anaweza akafa kwa presha kabla hata hajaenda kupima, mnamtisha sana mwenzenu kuweni makini hata maneno pia ni sumu yasije yakamuua

Dokta hebu msaidie ni nini tatizo labda.
 
Hebu mnunulie baby wako produkti za oreflem shawa gel na vya kujipakaa atarudi nomo,hizi coment nyingine hapa zinaweza kukurestisha kunako pisi ndugu yangu
 
Samahani Mkuu naomba kuelemishwa kidogo, Hii habari ya kuumwa Macho huwa ina uhusiano na na maambukizi HIV? Kuna uwezekano huo? na inaweza kuwa ya kwanza kabla ya magonjwa yale nyemelezi? Vipi kuhusu makovu nayo Mkuu uhusiano na HIV nao ukoje? hakuna ugonjwa/alergy tofauti na maonjwa nyemelezi yanayoweza kusababisha makovu???

Natanguliza shukrani Mkuu. Asante.

usifikiri kuwa kuumwa macho niugonjwa wa kawaida tu, inaweza kuwa ni dalili za kaswende

kutokana na maelezo yako uliyotoa japo kuwa hayajitoshelezi huyo mpenzi wako kuna uwezekano akawa na TERTIARY SYPHILIS ila ni vyema ukaenda naye HOSPITAL ili mkapate vipimo zaidi.
 
Ila kaka una MUOYO sana,ingekuwa mimi hapo hapo ningeropoka..."Twende tukapime kwanza bebii"
 
Back
Top Bottom