Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
nimeweka mafuta ya 15,000/ na gari jana nilizima na leo asubuhi nimeiwasha naona bado inawaka.
Hayo ni kidogo sana kwa taa kuzimika, magari mengine kama Landrover taa huwa mafuta yanapobaki lita tisa (shs 20,000/-), ongezea mafuta mengine Mkuu.