COBOL
Member
- Dec 21, 2013
- 98
- 227
Wakuu habari zenu,
kwa muda mrefu sasa nimekuwa na bahati mbaya katika kupata mpenzi wa kike, nahisi ni ishu ya udomozege maana mimi sio muongeaji sana, ni mtu ambae kwakwel napenda kuongea ukwel na sipend kusema uongo tu bila sababu ya msingi, ni mtu ambaye unaweza ukaniterm kuwa "Nice Guy."
Ninao marafiki wa kike lakini ndo hivyo ni marafiki tu. Sasa nimekuwa kila nikipata namba ya msichana hata kutoka kwa washkaji zangu, ambao wakinipa huwa wanasema, "ukimtext huyo gash hatufahamiani" yaani nisimtaje.
Sasa kimbembe kina kuja pale nikimchek yule manzi ili nianzishe conversation naye, Mara nyingi nimeshindwa kuvuka swali la "Umetoa wapi namba yangu?" huku nikiwa nimeambiwa nisimtaje aliyenipatia hiyo namba.
Kwakweli mimi nilikua naomba msaada kwamba wakuu humu ndani nyie mnadeal vipi na hili swali na kuweza kuliponyoka, maana kwakwel naona kama ni gumu sana kwangu. Na pia nifanye nini niondoe hali hii ya udomozege, ambayo nahisi imetokana na kupokea vidochi viwili vitatu vikali, kwa hyo ni ishu psychological.
Sometimes unatuka namchek demu flan na signs zote naziona kuwa hapa mambo fresh, lakini nashindwa kufunguka. Kwahiyo kuna maswala mawili hapa, dawa ya udomozege na jinsi ya kuvuka swali la "Umetoa wapi namba yangu?"
Msaada tafadhali
Update : Umri wangu ni miaka 21
kwa muda mrefu sasa nimekuwa na bahati mbaya katika kupata mpenzi wa kike, nahisi ni ishu ya udomozege maana mimi sio muongeaji sana, ni mtu ambae kwakwel napenda kuongea ukwel na sipend kusema uongo tu bila sababu ya msingi, ni mtu ambaye unaweza ukaniterm kuwa "Nice Guy."
Ninao marafiki wa kike lakini ndo hivyo ni marafiki tu. Sasa nimekuwa kila nikipata namba ya msichana hata kutoka kwa washkaji zangu, ambao wakinipa huwa wanasema, "ukimtext huyo gash hatufahamiani" yaani nisimtaje.
Sasa kimbembe kina kuja pale nikimchek yule manzi ili nianzishe conversation naye, Mara nyingi nimeshindwa kuvuka swali la "Umetoa wapi namba yangu?" huku nikiwa nimeambiwa nisimtaje aliyenipatia hiyo namba.
Kwakweli mimi nilikua naomba msaada kwamba wakuu humu ndani nyie mnadeal vipi na hili swali na kuweza kuliponyoka, maana kwakwel naona kama ni gumu sana kwangu. Na pia nifanye nini niondoe hali hii ya udomozege, ambayo nahisi imetokana na kupokea vidochi viwili vitatu vikali, kwa hyo ni ishu psychological.
Sometimes unatuka namchek demu flan na signs zote naziona kuwa hapa mambo fresh, lakini nashindwa kufunguka. Kwahiyo kuna maswala mawili hapa, dawa ya udomozege na jinsi ya kuvuka swali la "Umetoa wapi namba yangu?"
Msaada tafadhali
Update : Umri wangu ni miaka 21