ZionTZ
JF-Expert Member
- Oct 6, 2009
- 1,282
- 541
wakuu heshima yenu,
natafuta soko la dagaa wachafu ambao hutumika kutengenezea chakula cha kuku
mzigo unapatikana kuanzia tani tano hadi kumi, kwa yeyote alie na mawasiliano na watu wenye viwanda vikubwa
vya kutengenezea chakula cha kuku nijulisheni pls. unaweza nipa mawasiliano yao au kunielekeza kiwanda kilipo, hata
kama unamjua dalali anaehusika na dagaa wachafu pia ntashukuru ukinipa mawasiliano yake.
natafuta soko la dagaa wachafu ambao hutumika kutengenezea chakula cha kuku
mzigo unapatikana kuanzia tani tano hadi kumi, kwa yeyote alie na mawasiliano na watu wenye viwanda vikubwa
vya kutengenezea chakula cha kuku nijulisheni pls. unaweza nipa mawasiliano yao au kunielekeza kiwanda kilipo, hata
kama unamjua dalali anaehusika na dagaa wachafu pia ntashukuru ukinipa mawasiliano yake.