Left back-gunner
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 572
- 234
HakyaMungu??:what:
Tatizo ngumi siziwezi ndiyo maana nakimbia mapema....
chama chetu hakifundishi ndondi wala hakijasajiliwa BMT.
kuna sababu kadhaa ambazo zinasababisha
- muulize mkeo kama alishawahi kutumia njia yoyote ile ya kuzuia mimba kabla hamjaoana
- Vipi mnatumia pombe wote wawili? kama jibu ni ndiyo basi mkeo asitumie kabisa kilevi miezi minne ya kwanza baada ya kupata mimba.
- Mkeo akiugua kipindi ana mimaba asinywe dawa yoyote ile mpaka apate ushauri wa daktari maana kuna dawa zinasababisha mimba kutoka.
- Mkeo asinywe kabisa chai ya rangi. majani ya chai yanatoa mimba.
- Mkeo mimba anazopata nyingi zinaonekana zinatunga nje ya tumbo la uzazi hivyo kutoka ni rahisi. Mimba hizi nyingi zinaoneka zinatunga kwenye mirija ya Fallopian.
- Mkeo yawezekana amewahi kupata magonjwa ya zinaa hasa "Chlamydia" na hivyo kupata kitu inaitwa kitaalamu "Pelvic Inflammatory Diseases" (PID) ambayo inaweza kusababisha mimba kutoka na hata utasa kwa mwanamke ikiwa haitapata tiba kwa muda mwafaka. Ungonjwa huu unatibika hivyo wahi kumwona daktari mapema.
- Yawezekana pia kuna "chromosomal abnormalities" hivyo kufanya vipimo husika hospitali vitasaidia kubaini tatizo hilo.
- Ukipata matatizo usikimbilie kwa waganga wa kienyeji.
- Mwanaume jaribu kula sana mboga zilizoungwa viungo vya asili kama karanga, ufuta na tangawizi kwa wingi.
- Acha michepuko