Chief Sanze
JF-Expert Member
- Jun 13, 2014
- 1,693
- 3,821
,
Natumia Samsung galaxy note1
Simu gani kwa sasa zinazotumia 4g na bei yake haizidi 150k
Mkuu Chief-Mkwawa natumia line ya tigo kwenye E7... Simu yangu ina 4G lakini nilienda pale tigo kuwaambia kuhusu hii 4G,, wanadai eti niwape ten thousands ili wanipe line yenye 4G.. Itakuwa ni hii hii number yangu.. Nakaona wananizingua nakasepa zangu,, je naweza kutumia 4G kwa simu yangu kweli..?
p5 tecno je ina hyo 4g?
Capative Ni Aina ya touch na si display, kuna capative na resisitive. Resisitive Ni zile simu za zamani za touch ambazo ili utouch hadi utumie kijiti au kucha ILA capative Ni hizi za sasa zinazokubali vidole.Chief-Mkwawa hivi type ya display ya galaxy core prime ni nzuri inaitwa CAPATIVE SCREEN na vip ipo kwenye ranks zipi ukiilinganisha na super amoled
Hio huawei Ni simu decent ILA kwa sh ngap? Maana kuna y550 yenye specs nzuri zaidi around 200,000 hadi 300,000Chief-Mkwawa kuna hii Huawei Ascend Y5c (halor bee), yenyewe unaizungumziaje? Pia Halotel wanauza Samsung Galaxy A3 na yenyewe unaionaje?
Mkuu Chief-Mkwawa natumia line ya tigo kwenye E7... Simu yangu ina 4G lakini nilienda pale tigo kuwaambia kuhusu hii 4G,, wanadai eti niwape ten thousands ili wanipe line yenye 4G.. Itakuwa ni hii hii number yangu.. Nakaona wananizingua nakasepa zangu,, je naweza kutumia 4G kwa simu yangu kweli..?
mkuu sasa hivi zinatolewa bure... Week tatu zilizopita haikuwa bure....Line ni bure walitaka kukupiga
Hayupo!eti samahani nan anaweza ku unlock iphone 6s
Chief-Mkwawa kuna hii Huawei Ascend Y5c (halor bee), yenyewe unaizungumziaje? Pia Halotel wanauza Samsung Galaxy A3 na yenyewe unaionaje?