Unaona sasa๐๐
Tatizo ni Techno
Tatizo ni Tecno
Uliliondoaje hilo tatizo mkuuNilimdukua wife simu yake ikawa inapata tatizo hilo.
Ushadukuliwa mkuu. Niamini mm.
It was just a joke, hope umeelewa! Pole Mpwa
Sawasawa mkuu ila hili tatizo nalo lasumbua kweliIt was just a joke, hope umeelewa! Pole Mpwa
Watakua Wajuvi! Relax
Kuna kijisehem kinakuomba kuweka loudspeaker off. Fuatilia utaona kama kuna spying app kwenyw simu yako.
Mkuu hiyo spying ni app au ipo settingKuna kijisehem kinakuomba kuweka loudspeaker off. Fuatilia utaona kama kuna spying app kwenyw simu yako.
Hehehe, hiyo app ya kingese sana. Mhun akishika simu yako ana install alaf inaji uninstall ili usiione na kuacha faeatures flan za kukusanya taarifa ikiwemo hiyo ya loudspaeker.