Msaada kuhusu USB setting

euca

JF-Expert Member
Apr 6, 2015
3,741
4,081
Habari Wanajamiiforum ni kwamba Kuna smart nimenunua na katika matumizi yangu nilihtaji kuingiza document fulan kutoka kwenye kompyuta na nilipochomeka USB ikaja option ya kuchagua kama picha inavyionekana hapo chini.

But baada ya siku kadhaa nikijaribu kuchomeka tena USB kwa ajili ya kuhamisha au kuweka doc hailet Ile option na badala yake simu inajichaji tu hvyo naomben msaada wa setting ili nikichomeka USB Ile option ya kuchagua ije tena maana kama nahis Kuna sehemu nimekorofisha.

Screenshot_20231004-143239.jpg
 
Ukiwa umechomeka simu yako kwa pc nenda device manager kwa pc yako alafu piga picha utume hapa
 
Habari Wanajamiiforum ni kwamba Kuna smart nimenunua na katika matumizi yangu nilihtaji kuingiza document fulan kutoka kwenye kompyuta na nilipochomeka USB ikaja option ya kuchagua kama picha inavyionekana hapo chini but baada ya siku kadhaa nikijaribu kuchomeka tena USB kwa ajili ya kuhamisha au kuweka doc hailet Ile option na badala yake simu inajichaji tu hvyo naomben msaada wa setting ili nikichomeka USB Ile option ya kuchagua ije tena maana kama nahis Kuna sehemu nimekorofisha.View attachment 2772016
Nenda settings. Then about phone, katafute sehemu imeandikwa built in number, ibonyebonye mara kadhaa mfululizo itakuprompt kuwa uko seconds away kuwa developer, endelea kubonya itakwambia you are now a developer..

Rudi nyuma, utakuja kuona developer options,click then tafuta USB DEBUGGING kaitick uactivate.. then restart uchomeke tena usb kweny "kompyuta"
 
Kwanza unachotakiwa kujua sio kila usb inaweza kufanya file transfer kwa simu yoyote(zinakuwa specific) ,
So kwa upande wangu jaribu kutafuta usb itakayofanya file transfer kama njia za wakuu hapo juu zitashindikana.
 
Nenda settings. Then about phone, katafute sehemu imeandikwa built in number, ibonyebonye mara kadhaa mfululizo itakuprompt kuwa uko seconds away kuwa developer, endelea kubonya itakwambia you are now a developer..

Rudi nyuma, utakuja kuona developer options,click then tafuta USB DEBUGGING kaitick uactivate.. then restart uchomeke tena usb kweny "kompyuta"
Unamfundisha kufanya usb debugging kwani ana fanya testing ya nini mkuu
 
Kwanza unachotakiwa kujua sio kila usb inaweza kufanya file transfer kwa simu yoyote(zinakuwa specific) ,
So kwa upande wangu jaribu kutafuta usb itakayofanya file transfer kama njia za wakuu hapo juu zitashindikana.
Nimejaribu mbili kiongozi but zote ni hola ila hii ya kwanza ilikuja na simu na kwa mara ya kwanza ilikubali but now haitaki na ya pili Iko poa kwa kwenye simu nyingine bt kwangu hainiletei ile option
 
Nimejaribu mbili kiongozi but zote ni hola ila hii ya kwanza ilikuja na simu na kwa mara ya kwanza ilikubali but now haitaki na ya pili Iko poa kwa kwenye simu nyingine bt kwangu hainiletei ile option
Hapo jaribu mawazo ya kudebbug mkuu,
 
IMG_20231004_213524_1.jpg

Cheki hiyo option kwenye developer options, katika settings kama utaiona.
 
Back
Top Bottom