Manjeta
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 393
- 239
Habari wakuu poleni na majukumu..Nina simu yangu HTC DESIRE niliinunua kwa mtu kama miezi mitatu iliyopita na nikawa naitumia kama kawaida. CHA AJABU leo jioni nilivyoingia Facebook simu ikaji-RESTART halafu kuna namba ngeni ikawa inapiga lakini nilivyotaka kupokea ikagoma ikajizima tena na kujiwasha, mara baada ya kuwaka ukatokea ujumbe kwenye screen ukisomeka "RUDISHA SIMU YANGU" Punde tu ikajizima tena...nikaiwasha naona IMEJIFORMAT nikaanza kuchagua lugha na inadai EMAIL na PASSWORD.......MSAADA TAFADHALI Maana hata sijui ndo HACKERS kwenye ubora wao au ni vipi.

