Msaada Simu inajufuta kila kitu after every 2 hours

Faizan

Member
Oct 30, 2021
26
28
Wakuu nimepata changamoto katika Google pixel 6 yangu kama ifuatavyo; simu yangu baada ya kuifayia factory reset imeleta hio error.

Nimejaribu kuwa contact google kwenye email yao kama nilivyoelekezwa kwenye picha hapo chini lakini nimeshindwa.

Hii simu ni simu yangu wakuu na neitumia miezi mitano make nilinunua refurbished shida imekuja baada ya kufactory data reset.

Na pia nikisema nitatue hili tatizo kwa kudisable Google services sitoweza kutumia playstore, email services almost vitu vyote vya msingi vinavyohusu Google kwenye simu
 

Attachments

  • .trashed-1697542876-images (1).jpeg
    .trashed-1697542876-images (1).jpeg
    44.9 KB · Views: 3
  • .trashed-1697542876-images.jpeg
    .trashed-1697542876-images.jpeg
    39.5 KB · Views: 3
  • .trashed-1697542876-images.png
    .trashed-1697542876-images.png
    11.9 KB · Views: 4
Wakuu nimepata changamoto katika Google pixel 6 yangu kama ifuatavyo; simu yangu baada ya kuifayia factory reset imeleta hio error.

Nimejaribu kuwa contact google kwenye email yao kama nilivyoelekezwa kwenye picha hapo chini lakini nimeshindwa.

Hii simu ni simu yangu wakuu na neitumia miezi mitano make nilinunua refurbished shida imekuja baada ya kufactory data reset.

Na pia nikisema nitatue hili tatizo kwa kudisable Google services sitoweza kutumia playstore, email services almost vitu vyote vya msingi vinavyohusu Google kwenye simu
Kuna watu wanateseka aisee
 
Back
Top Bottom