Msaada simu imetoa mistari

Msaada simu imetoa mistari

Hiyo ni kawaida sana kwa simu za Samsung hasa Kwa S series or note za zamani. Bora ununue A series tu au brand nyingine kama Xiaom.​
 
Mistari inatengenezwa bure Samsung, mpaka mwezi wa 9 2025 kwa S21 na S22, kama ni simu ulinunua Tanzania na ina warranty ya hapa Ipeleke, kama ni simu ya korea ama Dubai ni hadi irudishwe huko.
 
Hiyo ni kawaida sana kwa simu za Samsung hasa Kwa S series or note za zamani. Bora ununue A series tu au brand nyingine kama Xiaom.​
Tatizo ni vioo vya Samsung na Sio simu za Samsung, simu zote flagship between 2020-2022 ambazo zilitumia vioo vya Samsung zilipatwa na hilo tatizo bila kujali brand husika.

Sony, Iphone, Xiaomi, Oneplus etc zote zinatoka hio mistari.
 
Tatizo ni vioo vya Samsung na Sio simu za Samsung, simu zote flagship between 2020-2022 ambazo zilitumia vioo vya Samsung zilipatwa na hilo tatizo bila kujali brand husika.

Sony, Iphone, Xiaomi, Oneplus etc zote zinatoka hio mistari.
So kumbe hzi green line na pink lines ni kutoka vioo vya Samsung pekee basi nilijua ni kampuni zote za display wanna hili tatizo especially hzi one plus ndo naona wanacases nyingi mno za green line display



So Samsung washafix hili tatizo kwa generation za mbele za vioo?
 
So kumbe hzi green line na pink lines ni kutoka vioo vya Samsung pekee basi nilijua ni kampuni zote za display wanna hili tatizo especially hzi one plus ndo naona wanacases nyingi mno za green line display



So Samsung washafix hili tatizo kwa generation za mbele za vioo?
Ndio mkuu wameshafix kwa device mpya,
 
Ndio mkuu wameshafix kwa device mpya,
Sasa kwa nini hadi S24 Ultra nayo ilianza kuleta shida ya Green Lines, au wamefix kuanzia S25 series

 
Tatizo ni vioo vya Samsung na Sio simu za Samsung, simu zote flagship between 2020-2022 ambazo zilitumia vioo vya Samsung zilipatwa na hilo tatizo bila kujali brand husika.

Sony, Iphone, Xiaomi, Oneplus etc zote zinatoka hio mistari.
Ila Sony, iPhone na Xiaomi case sio nyingi sana kama Samsung na One Plus
 
Sasa kwa nini hadi S24 Ultra nayo ilianza kuleta shida ya Green Lines, au wamefix kuanzia S25 series

Greenline zipo simu zote, ila ni rare, unakuta maybe simu 1000 ni moja tu ina line, kwenye s20-22 na equivalent Flagship zake zina line to the point almost watu wote wanapata. Ndio maana hizo models ukipata Green line matengenezo ni bure.
 
Ila Sony, iPhone na Xiaomi case sio nyingi sana kama Samsung na One Plus
Asikwambie mtu Sony mkuu, zina line balaa, Kama miaka kadhaa iliopita nilikua na recomend watu humu xperia 5 II, kuna ndugu zangu pia niliwashauri wachukue hizo simu wote wana line tena sio moja ama mbili bali line zinafika 20 na kitu. Kupata ushahidi zaidi nenda fb marketplace search xperia 5 II utaona.

Xiaomi Anatumia Oled za TCL ambazo quality si nzuri kama Samsung na Boe ila Ali dodge Bullet kwenye quality control.

Iphone pia kwa mda mrefu sana simu zake entry level anatumia Lcd ama Oled za low quality ila zile top pro max nazo zina line za kutosha tu.
 
Asikwambie mtu Sony mkuu, zina line balaa, Kama miaka kadhaa iliopita nilikua na recomend watu humu xperia 5 II, kuna ndugu zangu pia niliwashauri wachukue hizo simu wote wana line tena sio moja ama mbili bali line zinafika 20 na kitu. Kupata ushahidi zaidi nenda fb marketplace search xperia 5 II utaona.

Xiaomi Anatumia Oled za TCL ambazo quality si nzuri kama Samsung na Boe ila Ali dodge Bullet kwenye quality control.

Iphone pia kwa mda mrefu sana simu zake entry level anatumia Lcd ama Oled za low quality ila zile top pro max nazo zina line za kutosha tu.
Hapo nina swali. Kama vioo vya Samsung ni high quality kuliko TCL kwa nini ndio vinapata green lines?
Halafu A series za Samsung sisikii zikipata green lines na ni OLED za Samsung huyohuyo. Sababu ni nini haswa?
 
Hapo nina swali. Kama vioo vya Samsung ni high quality kuliko TCL kwa nini ndio vinapata green lines?
Halafu A series za Samsung sisikii zikipata green lines na ni OLED za Samsung huyohuyo. Sababu ni nini haswa?
Sio midrange zote za Samsung zinatumia Oled za Samsung nyingi zinatumia Boe display.

Halafu display zilizoathirika ni specific model iliotoka huo mda.

Na hapa Tunaongelea quality kwa maana fahari ya macho kile unachoona, ila quality kwa maana ya durability vipo vingi vya lowend vinadumu sana kuliko highend, havina Curve, bezell kubwa etc.
 
Sio midrange zote za Samsung zinatumia Oled za Samsung nyingi zinatumia Boe display.

Halafu display zilizoathirika ni specific model iliotoka huo mda.

Na hapa Tunaongelea quality kwa maana fahari ya macho kile unachoona, ila quality kwa maana ya durability vipo vingi vya lowend vinadumu sana kuliko highend, havina Curve, bezell kubwa etc.
Sawa mkuu
 
Sio midrange zote za Samsung zinatumia Oled za Samsung nyingi zinatumia Boe display.

Halafu display zilizoathirika ni specific model iliotoka huo mda.

Na hapa Tunaongelea quality kwa maana fahari ya macho kile unachoona, ila quality kwa maana ya durability vipo vingi vya lowend vinadumu sana kuliko highend, havina Curve, bezell kubwa etc.
Mkuu nimeona mtu anauza one plus 11 Kwa 900k ina storage ya 512 ila ni used vipi hpo panafaa??



Ama wewe nahitaji unishauri simu gani Kwa budget ya M1 iwe used ama mpya ila iko na FLAGSHIP CAMERA na GOOD BATTERY LIFE na storage walau 512 GB


Nb. Samsung sihitaji kabisa wala iPhone.
 
Asikwambie mtu Sony mkuu, zina line balaa, Kama miaka kadhaa iliopita nilikua na recomend watu humu xperia 5 II, kuna ndugu zangu pia niliwashauri wachukue hizo simu wote wana line tena sio moja ama mbili bali line zinafika 20 na kitu. Kupata ushahidi zaidi nenda fb marketplace search xperia 5 II utaona.

Xiaomi Anatumia Oled za TCL ambazo quality si nzuri kama Samsung na Boe ila Ali dodge Bullet kwenye quality control.

Iphone pia kwa mda mrefu sana simu zake entry level anatumia Lcd ama Oled za low quality ila zile top pro max nazo zina line za kutosha tu.
Ni kweli natumia Sony Experia 5 mark 11 green line iko tayari
 
Back
Top Bottom