Hammy Js
JF-Expert Member
- Sep 20, 2017
- 3,053
- 3,269
Habari ndugu zanguni
Naombeni msaada juu ya hili tatizo, simu yangu inatumia LINE mbili sasa baada ya kufanya system update limeibuka tatizo la "SIM 1 not allowed". Nimejaribu kurestart simu, tatizo likapotea kama dakika kadhaa halafu likarudi tena.
Kuna mtu aliwahi kukutana na hili tatizo na alilitatuaje, aina ya simu ni Samsung. Msaada tafadhali, natanguliza shukrani
Naombeni msaada juu ya hili tatizo, simu yangu inatumia LINE mbili sasa baada ya kufanya system update limeibuka tatizo la "SIM 1 not allowed". Nimejaribu kurestart simu, tatizo likapotea kama dakika kadhaa halafu likarudi tena.
Kuna mtu aliwahi kukutana na hili tatizo na alilitatuaje, aina ya simu ni Samsung. Msaada tafadhali, natanguliza shukrani