Coco beach-jtanoWakuu naombeni msaada wanaojua sehemu nzuri za "KARAOKE" na live band hapa jijini, itakua poa mtu akisema mahali na siku, sana sana "karaoke" mana nahisi wkend hii itaanza mapema na najisikia kuimba imba tu,
Wale watakaoshauri kanisani asanteni sana ila kila kitu kina nafasi yake ya kaisari tunampa kaisari
Tujuzane wakuu, Natanguliza shukrani
Coco beach-jtano
Escape one-alhamisi
777-ijumaa
Samaki samaki-jtano
escape one..thursday...
kesho utanikuta pale..ukiniona niite kwa ID yangu,utakunywa bure😛
waooooo i wil be there tooescape one..thursday...
kesho utanikuta pale..ukiniona niite kwa ID yangu,utakunywa bure😛
Kiruuuh! Itabidi tu niwepo. Ayaa,nikukuita tu Mtoboa macho uitike.escape one..thursday...
kesho utanikuta pale..ukiniona niite kwa ID yangu,utakunywa bure😛
😀😀😀😀😀😀😀😀Kiruuuh! Itabidi tu niwepo. Ayaa,nikukuita tu Mtoboa macho uitike.
Mkuu samahani. We ni ke au me?waooooo i wil be there too
unantaftia kifo sioKiruuuh! Itabidi tu niwepo. Ayaa,nikukuita tu Mtoboa macho uitike.
Alafu seriously ntakuwepo kula mziki mzuuuri! Just for u Scorpio😀😀😀😀😀😀😀😀
kwanini unataka kuja inbox nini ha ha ha ha haMkuu samahani. We ni ke au me?
Bhasi nitakuita Dume Challenge,maana Scorpion ndo alikuwa mshindi. Sitaki niite Scorpio waimbaji watakimbia na kuacha kuleta burudaniunantaftia kifo sio
Hapana,ili kesho nikuvizie nikuone kama we ni ke,kama ni me nisijihangaishe. Hahahahakwanini unataka kuja inbox nini ha ha ha ha ha
Wazeee wa mizunguko utawajua tu na vigari vyao vya mkopoCoco beach-jtano
Escape one-alhamisi
777-ijumaa
Samaki samaki-jtano
Wakuu naombeni msaada wanaojua sehemu nzuri za "KARAOKE" na live band hapa jijini, itakua poa mtu akisema mahali na siku, sana sana "karaoke" mana nahisi wkend hii itaanza mapema na najisikia kuimba imba tu,
Wale watakaoshauri kanisani asanteni sana ila kila kitu kina nafasi yake ya kaisari tunampa kaisari
Tujuzane wakuu, Natanguliza shukrani