Msaada screen ya nokia lumunia 820

Msaada screen ya nokia lumunia 820

Ngamba

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2013
Posts
752
Reaction score
154
naomba msaada ni wapi nako weza pata screeen ya limunia 820 kizuri / original kwa bei nzuri

Ngamba
 
hivi hapa ebay.com na hapa amazon.com JIONGEZE
 
Vipi kariakoo aggrey sh 45000 original anakufungia kabisa kama hujapata bado sema
 
Mkuu hawa hutengeneza SIMU pia? Nina Nokia lumia 635 haisomi Sim card.

hapana sitengenezi simu. lumia 635 ni version ya lumia 630 yenye 4g lte, nyingi zimelokiwa mitandao ya nje umejaribu kui unlock?
 
hapana sitengenezi simu. lumia 635 ni version ya lumia 630 yenye 4g lte, nyingi zimelokiwa mitandao ya nje umejaribu kui unlock?


Sijaongelea wewe mkuu namaanisha hao uliowasema midcom....

Ni kibati cha kwenye simcard kimeleta shida
 
Sijaongelea wewe mkuu namaanisha hao uliowasema midcom....

Ni kibati cha kwenye simcard kimeleta shida

oh sorry sikuona vizuri. hao ndio wahusika wa lumia zote wanatakiwa wawe wanafanya hizo repair, hata kama hawafanyi basi watakuelekeza kwa kwenda. sema bei zao zipo juu kidogo ila ni safe kuliko mafundi mtaani
 
oh sorry sikuona vizuri. hao ndio wahusika wa lumia zote wanatakiwa wawe wanafanya hizo repair, hata kama hawafanyi basi watakuelekeza kwa kwenda. sema bei zao zipo juu kidogo ila ni safe kuliko mafundi mtaani


OK nashukuru sana mkuu!!
 
Umefanikiwa, kama bado nikupe personal namba ya muhusika kabisa, wako vizuri saaan midcom, nilisha badilisha hapo mara mbili lumia yangu 820.

bado ila nitashukuru sana kama utanipa number ya mhusika maana nimejaribu mara nyingi sana number yao bila mafanikio
 
Vipi kariakoo aggrey sh 45000 original anakufungia kabisa kama hujapata bado sema

poa ila nawasiwasi na kama anatoa warranty na guarantee maana bila hicho naogopa sana mafundi wa mtaa I maana waweza kuwa kimeo chake bila kujua kila baada ya muda unarudi akupe kingine??? nipe uhakiki wa hivyo nilivyouliza and I do business with him
 
poa ila nawasiwasi na kama anatoa warranty na guarantee maana bila hicho naogopa sana mafundi wa mtaa I maana waweza kuwa kimeo chake bila kujua kila baada ya muda unarudi akupe kingine??? nipe uhakiki wa hivyo nilivyouliza and I do business with him

uhakika kaka hakuna ubabaishaji
 
hapana sitengenezi simu. lumia 635 ni version ya lumia 630 yenye 4g lte, nyingi zimelokiwa mitandao ya nje umejaribu kui unlock?
mimi ninayo 630 ime lockiwa mtandao je wapi naweza ku unlock kwa bei rahisi maana hawa ninaokutana nao bei zao zaidi ya laki moja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom